Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Anavizia harusi ya Paul huyo anataka kuzamia kama harusi iliyopita ya Peter
Anavizia harusi ya Paul huyo anataka kuzamia kama harusi iliyopita ya Peter[/QUOTJ
Unadanganya Mpenzi kharusi ya peter ilikuwa jana na hakuna details zozote zisemazo Naseeb ameenda Nigeria.
Anavizia harusi ya Paul huyo anataka kuzamia kama harusi iliyopita ya Peter[/QUOTJ
Unadanganya Mpenzi kharusi ya peter ilikuwa jana na hakuna details zozote zisemazo Naseeb ameenda Nigeria.
Ile ni traditional dear wale wanazo za kimila na za kiimani pia
wabongo bana....mbona inaonekana anakwenda kuvizia kolabo, na sio kugombaniwa wafanye nae kolabo!!!?
Itakuwa ndio video ambayo itambid atumie badget kubwa kuliko zote alizowahi fanya.....Huo wimbo wa hiyo video sasa,na vichwa/wahusika watakavyokuwemo humo!!!!!!!ni shidaaaa ya mwaka...kaeni tu mkao flan
Hakika Diamond si Mwenzetu Sasa hivi Baada ya Video yake ya Number 1 Remix kufanya vizuri na kufikia kukamata namba moja katika kituo kikubwa cha Tv Trace sasa amekuwa kama lulu, Unaambiwa wasanii mbali mbali kutoka Ghana na Nigeria wanamtafuta kufanya nae Collabo ....Diamond Amehabarisha kuwa siku si nyingi ataelekea pande hizo za Nigeria kufanya Video mpya ambayo bado hajasema ni wimbo gani, Pia atapitia Ghana kufanya Collabo Kadhaaa....Big Up
***badget*** ni "budget" msifikiri kubahatisha kuokota hela mtaibahatisha na lugha ya malkia....