Iwe funzo kwa wanaume wote...
Mkishakojoa shahawa mnasepa
Wengine mimba wanazikataa
Mtoto akifanikiwa unaenda mikono nyuma mie baba yako.mie baba yako...
Baba ni zaidi ya kukojoa....
Mwisho wa siku mtoto hana uchungu na wewe
Hawezi kushtuka
Unaishia kulalama
watu hawajui mamake alihangaika vipi na mtoto ..baba mtu si alimbwaga mtoto akihisi anapunguza najukumu...sasa atulie tu sio kupiga kulele hasaidiwi wakati yeye hakusaidia
mzazi ni mzazi !
Usilipe ubaya kwa ubaya.
Diamond aliwahi kuimba hivi kwenye wimbo wake "Binadmu"
"Kidogo nakula na Mama yangu, siwezi kuwasahu na ndugu zangu, salaam zifike kwa baba yangu, japo ALINIKATAA"
Hawa wasanii shida sana. Kanumba nae alikuwa hivi hivi na baba yake.!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani hii iwe inawapata wanaume wote wakisusa watoto.watoto wanaosuswa wafanikiwe at the end.na wababa hao wabakie taabani.AMEN
Wa kulalamikiwa hapa ni serikali ya CCM kwa kutoboresha huduma za afya. Lakini kulalamikia watu eti wanakunywa bia huku wengine wakiugua hilo linakuwa zengwe.
Anyway, ukiona hivyo huyo sio baba yeke.
CCM inakujaje hapo mkuu?
Diamond aliwahi kuimba hivi kwenye wimbo wake "Binadmu"
"Kidogo nakula na Mama yangu, siwezi kuwasahu na ndugu zangu, salaam zifike kwa baba yangu, japo ALINIKATAA"