Diamond, Majizo,Melody uso Kwa uso Bungeni Leo, Wabunge walipuka Kwa shangwe

Diamond, Majizo,Melody uso Kwa uso Bungeni Leo, Wabunge walipuka Kwa shangwe

Siku hizi bunge limekua kama bar, kila mtu anakaribisha washkaji wake, mke watoto wapiga soga wake, yani swala la waveni bungeni imekua kero. Kwanza wanatumia mda mwingi kuwataja. Hivi kwanini wasibali sheria angalau waje wataalam tu wa issue inayojadiliwa?
Wabunge wenyewe wa mwendokasi 🤣🤣hatuna bunge,tuna saccos ya maisha nafuu🤣
 
Kweli inawezekana kwako hana ushawishi.
hivi unakumbuka alichowafanyia 2010-2015, kama pale mlishindwa kulikamata dola itawachukua miaka 60 hadi 100 kujipanga upya wakati huo ccm tukiwa tumelala jambo ambalo halipo.
chadema zindukeni usingizini makamanda wa anga hata kufangia uwanja wa Ufipa Kinondoni ni shida vipi kuendesha nchi
 
Siku hizi bunge limekua kama bar, kila mtu anakaribisha washkaji wake, mke watoto wapiga soga wake, yani swala la waveni bungeni imekua kero. Kwanza wanatumia mda mwingi kuwataja. Hivi kwanini wasibali sheria angalau waje wataalam tu wa issue inayojadiliwa?
Mimi ndio maana niliwagomea mwaliko wao
 
hivi unakumbuka alichowafanyia 2010-2015, kama pale mlishindwa kulikamata dola itawachukua miaka 60 hadi 100 kujipanga upya wakati huo ccm tukiwa tumelala jambo ambalo halipo.
chadema zindukeni usingizini makamanda wa anga hata kufangia uwanja wa Ufipa Kinondoni ni shida vipi kuendesha nchi
Dada mpikie mumeo chakula ale kisha akukule wewe.
Huna unalojua kwenye siasa.
 
Siku hizi bunge limekua kama bar, kila mtu anakaribisha washkaji wake, mke watoto wapiga soga wake, yani swala la waveni bungeni imekua kero. Kwanza wanatumia mda mwingi kuwataja. Hivi kwanini wasibali sheria angalau waje wataalam tu wa issue inayojadiliwa?
Soon kajala ataenda na mwanae

Mule mjengoni

Bunge limekuwa nyepesi sana

Ova
 
Back
Top Bottom