Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Google Search
www.google.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods edit hapo ni mexence MeloGoogle Search
www.google.com
Siku hizi bunge limekua kama bar, kila mtu anakaribisha washkaji wake, mke watoto wapiga soga wake, yani swala la waveni bungeni imekua kero. Kwanza wanatumia mda mwingi kuwataja. Hivi kwanini wasibali sheria angalau waje wataalam tu wa issue inayojadiliwa?Google Search
www.google.com
Mkuu ume enda mbali sanaSiku hizi bunge limekua kama bar, kila mtu anakaribisha washkaji wake, mke watoto wapiga soga wake, yani swala la waveni bungeni imekua kero. Kwanza wanatumia mda mwingi kuwataja. Hivi kwanini wasibali sheria angalau waje wataalam tu wa issue inayojadiliwa?
🤣🤣🤣😂🤣Ndo wa nani hawa ?
Kwanini mkuukina mbowe machozi yanawalegalenga
Akili za kikyum@@ sana Mbowe amekuwa mbunge zaidi ya miaka 10,kipya ni kipi kwake?kina mbowe machozi yanawalegalenga
miaka kumi bila ya ushawishi ni mambo yanayo umiza sana,mwisho wa siku unamua kujilewea makonyagi majukwaniAkili za kikyum@@ sana Mbowe amekuwa mbunge zaidi ya miaka 10,kipya ni kipi kwake?
Wabunge wenyewe wa mwendokasi 🤣🤣hatuna bunge,tuna saccos ya maisha nafuu🤣Siku hizi bunge limekua kama bar, kila mtu anakaribisha washkaji wake, mke watoto wapiga soga wake, yani swala la waveni bungeni imekua kero. Kwanza wanatumia mda mwingi kuwataja. Hivi kwanini wasibali sheria angalau waje wataalam tu wa issue inayojadiliwa?
Kweli inawezekana kwako hana ushawishi.miaka kumi bila ya ushawishi ni mambo yanayo umiza sana,mwisho wa siku unamua kujilewea makonyagi majukwani
hivi unakumbuka alichowafanyia 2010-2015, kama pale mlishindwa kulikamata dola itawachukua miaka 60 hadi 100 kujipanga upya wakati huo ccm tukiwa tumelala jambo ambalo halipo.Kweli inawezekana kwako hana ushawishi.
Mimi ndio maana niliwagomea mwaliko waoSiku hizi bunge limekua kama bar, kila mtu anakaribisha washkaji wake, mke watoto wapiga soga wake, yani swala la waveni bungeni imekua kero. Kwanza wanatumia mda mwingi kuwataja. Hivi kwanini wasibali sheria angalau waje wataalam tu wa issue inayojadiliwa?
Huo ndiyo ukweli bunge limekuwa kama kijiwe fulani au barMkuu ume enda mbali sana
Hakuna bunge paleWabunge wenyewe wa mwendokasi [emoji1787][emoji1787]hatuna bunge,tuna saccos ya maisha nafuu[emoji1787]
Dada mpikie mumeo chakula ale kisha akukule wewe.hivi unakumbuka alichowafanyia 2010-2015, kama pale mlishindwa kulikamata dola itawachukua miaka 60 hadi 100 kujipanga upya wakati huo ccm tukiwa tumelala jambo ambalo halipo.
chadema zindukeni usingizini makamanda wa anga hata kufangia uwanja wa Ufipa Kinondoni ni shida vipi kuendesha nchi
Soon kajala ataenda na mwanaeSiku hizi bunge limekua kama bar, kila mtu anakaribisha washkaji wake, mke watoto wapiga soga wake, yani swala la waveni bungeni imekua kero. Kwanza wanatumia mda mwingi kuwataja. Hivi kwanini wasibali sheria angalau waje wataalam tu wa issue inayojadiliwa?
nashukuru kwa kuyafahamu majukumu yako vyema binti hakukua na haja ya kujinasibu hapa jukwaaniDada mpikie mumeo chakula ale kisha akukule wewe.
Huna unalojua kwenye siasa.