Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Naomba Nikushauri kwa kutumia mfano wa wasanii Wakubwa maana ndyo Role model wako.
Mwaka 2008 had 2012, Lil Wayne alikuwa miongini mwa wasanii wanaotamba katika mziki wa dunia. Mwaka 2008 alipata Grammy, mtv , BET za kutosha kutokana na albam yake the carter 3 ambayo iliuza zaidi ya kopi milliin ndani ya wiki ya kwanza.
Baada ya apo aliendelea kutoa hit songs ambazo zilitamba billboards, Had 2012.
Lil Wayne aliendelea kutoa albums na mixtapes ambazo zilipata negative responses kutoka kwa mashabiki wake. Hii ni kwa sababu ya Explicit contents zilizokuwa kwenye Audio na Video ya miziki yake. Tv na Radio mbali mbali zilishindwa kucheza miziki yake sababu ya izo Explicit contents.
Amekuwa akitoa album na miziki mingi lakini imekuwa taged under explicit contents.
Explicty contents sio images tu za matus. Hata maneno pia.
Drake naye ni msanii aliyeanza kuhit kuanzia miaka ya 2012. Mwanzoni sikuvutiwa na style ya drake ya kurap sababu ilikuwa amecopy ya Lil wayne. Mpaka hivi leo ukimsikiliza Drake akiimba unaweza sema ni Lil Wayne. Ila cha kushangaza huyu drake leo anahit kumzidi Lil wayne alyemkocopy style ya kuimba.
Hii ni kwa sababu nyimbo na video za drake haziwi taged under PAL ( Parental Advisory Label) sababu hakuna explicit contents kwahyo nyimbo na album za drake huweza pigwa katika radio na television zote duniani kuliko za lil wayne.
Sasa narudi kwa diamond mdogo wangu.
Kwa haka katabia unakotaka kuanzisha. Katakutoa kwenye game vibya sanaa. Utakuwa unatoa hit songs kila siku lakini Anashangaa awards wanapewa wengine.
Angalia usijekuwa kama Lil Wayne. 2012 anatoa nyimbo na album nyingi lakini azihit ingawa ni hit songs.
Mwaka 2008 had 2012, Lil Wayne alikuwa miongini mwa wasanii wanaotamba katika mziki wa dunia. Mwaka 2008 alipata Grammy, mtv , BET za kutosha kutokana na albam yake the carter 3 ambayo iliuza zaidi ya kopi milliin ndani ya wiki ya kwanza.
Baada ya apo aliendelea kutoa hit songs ambazo zilitamba billboards, Had 2012.
Lil Wayne aliendelea kutoa albums na mixtapes ambazo zilipata negative responses kutoka kwa mashabiki wake. Hii ni kwa sababu ya Explicit contents zilizokuwa kwenye Audio na Video ya miziki yake. Tv na Radio mbali mbali zilishindwa kucheza miziki yake sababu ya izo Explicit contents.
Amekuwa akitoa album na miziki mingi lakini imekuwa taged under explicit contents.
Explicty contents sio images tu za matus. Hata maneno pia.
Drake naye ni msanii aliyeanza kuhit kuanzia miaka ya 2012. Mwanzoni sikuvutiwa na style ya drake ya kurap sababu ilikuwa amecopy ya Lil wayne. Mpaka hivi leo ukimsikiliza Drake akiimba unaweza sema ni Lil Wayne. Ila cha kushangaza huyu drake leo anahit kumzidi Lil wayne alyemkocopy style ya kuimba.
Hii ni kwa sababu nyimbo na video za drake haziwi taged under PAL ( Parental Advisory Label) sababu hakuna explicit contents kwahyo nyimbo na album za drake huweza pigwa katika radio na television zote duniani kuliko za lil wayne.
Sasa narudi kwa diamond mdogo wangu.
Kwa haka katabia unakotaka kuanzisha. Katakutoa kwenye game vibya sanaa. Utakuwa unatoa hit songs kila siku lakini Anashangaa awards wanapewa wengine.
Angalia usijekuwa kama Lil Wayne. 2012 anatoa nyimbo na album nyingi lakini azihit ingawa ni hit songs.