wengi wenu mnaomsema diamond umaarufu wenu unaishia chit chat,MMU na jukwaa la kikubwa kwa majina feki period,hata awe na domo kubwa,apake eye shadow au wanja ukweli utabaki pale pale kuwa hata mumponde vipi Diamond anapendwa na warembo ambao wengi humu mtakufa bila hata kupata salamu zao,mko busy kumsema mwenzenu yuko busy kuingiza pesa ambazo nina uhakika wengi wenu humu mshazeeka hamjawahi kuzishika,diamond ni superstar mkubwa bongo wakati wengine humu hata ustar wa shule za msingi hamkuwahi kuupata.Wivu tu,nahisi wanaomponda diamond huku wengi wao ni vibibi na vibabu sema ndo hivyo nyuma ya avatar kila mtu anajifanya wamo,wengine humu choka mbaya hata hela ya nauli ya kushikia mkuki wa daladala ya kesho kwenda posta kuomba ajira hawajui watapata wapi lakini wanajiona wa maana kiasi cha kumkashifu mtoto wa watu ambaye kawazidi kila angle.Mti wenye matunda ndio utupiwao mawe,debe lisilo na kitu kutwa kupiga makelele ya kipuudhi,mnatamani kuwa diamond ndo mana mnadhani mkimponda mtamshusha awe level yenu.Get a life loosers.