Diamond Mfalme wa Youtube kwa wasanii Kusini mwa Jangwa la Sahara, aweka rekodi nyingine

Diamond Mfalme wa Youtube kwa wasanii Kusini mwa Jangwa la Sahara, aweka rekodi nyingine

Shadow7

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
24,606
Reaction score
39,289
Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amepiga hatua nyingine kubwa katika kazi yake ya muziki.

Screen-Shot-2021-04-05-at-18.02.00.png


Diamond kwa jina halisi Naseeb Abdul amekuwa mwanamuziki wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kupata subscriber milioni tano katika mtandao wa Youtube, kupitia chaneli yake ya youtube.

Mbali na kufikisha Subscriber mil 5 pia ndio msanii anayeoongoza kwa kuwa na watazamaji wengi zaidi kwenye akaunti yake akiwa na watazamaji zaidi ya bilioni moja 1,356,274,369 views.

Diamond anafuatiwa kwa karibu na msanii Ryavanny mwenye subscriber milioni 2.6 huku Harmonize akiwa na milioni 2.4.

Wasanii wengine wengine wenye subscriber wengi ni Davido mwenye milioni 2.3 huku wasanii kama Burna boy akiwa na mil 1.8 na Wizkid akiwa na mil 1.6.
 
Watanzania kwa umbea namba moja AFRICA anastahili
 
Hivi jamaa mbona nyimbo kuachia au mpaka tumalize Maombolezo
 
Back
Top Bottom