Diamond:mida hii Off to Zanzibar kwenye mazishi ya mzazi wa Wema...

Aaaawwww sooooo sweet! Nimependa, penina atakwenda na lemba lake, au safari hii atawaacha wenzake wapumuwe.......!??
Ila Peny kama akienda itakua poa sana
 
Hivi huyu dada kakosa nini? Kwa nini wanawake wengi wanamchukia kisa tu aliwahi kuwa na Diamond..yaani kupinduliwa kuna watu wamefanya sherehe. Mwenzenu katendwa..mnamuona mtendaji ndiye shujaa!
He kwani Peny kashatemwa?cjaisikia hii habari mwee pole yake km n kwel
 
Hivi huyu dada kakosa nini? Kwa nini wanawake wengi wanamchukia kisa tu aliwahi kuwa na Diamond..yaani kupinduliwa kuna watu wamefanya sherehe. Mwenzenu katendwa..mnamuona mtendaji ndiye shujaa!

Huyu dada alikuwa shoga wa wema kidole na pete, yeye ndo alimpindua wema kwa diamond. Muache aonje joto ya jiwe.......atasanda mwaka huuuu, atajutraaaaa kuiba vya mashoga
 
Kwani kaachwa? I thought she was preg na saa hizi wanalea?
Hivi huyu dada kakosa nini? Kwa nini wanawake wengi wanamchukia kisa tu aliwahi kuwa na Diamond..yaani kupinduliwa kuna watu wamefanya sherehe. Mwenzenu katendwa..mnamuona mtendaji ndiye shujaa!
 
Huyu dada alikuwa shoga wa wema kidole na pete, yeye ndo alimpindua wema kwa diamond. Muache aonje joto ya jiwe.......atasanda mwaka huuuu, atajutraaaaa kuiba vya mashoga

Usiongee usichokijua.
hizo taarifa kakutangazieni nani?
watu wanalala na kuamka pamoja kil siku..we unasema kaachwa.kivip yani...
usiwe unaongea vya kisikia
..
 
He kwani Peny kashatemwa?cjaisikia hii habari mwee pole yake km n kwel

Watanzania cjui wakoje..wanpenda ushabikiii...
hakuna kitu kama hicho..na hakitotokea..
hamuelew kilicho nyuma ya pazia khusu hawa watu...
mnahadaika tu na media
 
Huyu dada alikuwa shoga wa wema kidole na pete, yeye ndo alimpindua wema kwa diamond. Muache aonje joto ya jiwe.......atasanda mwaka huuuu, atajutraaaaa kuiba vya mashoga
kumbe watu mnapenda wengine waachane. anyway tutapata story zaidi
 
nina waswas na elim yako na malez uliokulia we kijana.pia sina iman kama u.ajitambua na kama unajitambua nna was was n uwezi wako wa kufikiri,la kama sivyo naomba ujirrkebishe
 
Where does the scope of your Work end? Do you get to monitor and publicise on who sleeps with your boss kwa muda mfupi na mrefu?

Gosh, i hate your job. Namshukuru babangu Mtambuzi kwa kunipeleka shule
Usiongee usichokijua.
hizo taarifa kakutangazieni nani?
watu wanalala na kuamka pamoja kil siku..we unasema kaachwa.kivip yani...
usiwe unaongea vya kisikia
..
 
Last edited by a moderator:
Ila Peny kama akienda itakua poa sana
asijesababisha msiba mwingine......., nadhani waliokwenda wanatosha, ye abaki mtazamaji wa picha kwenye mitandao!
 
Where does the scope of your Work end? Do you get to monitor and publicise on who sleeps with your boss kwa muda mfupi na mrefu?

Gosh, i hate your job. Namshukuru babangu Mtambuzi kwa kunipeleka shule
inaonekana kazi yake haina mipaka hadi kitandani kwa boss
 
Heeeeheeee ngoja niangalie jikoni kama kuna jipya....
 
Usiongee usichokijua.
hizo taarifa kakutangazieni nani?
watu wanalala na kuamka pamoja kil siku..we unasema kaachwa.kivip yani...
usiwe unaongea vya kisikia
..

Hivi wewe ni msemaji wa Diamond kwenye kazi zake au hata akimpiga demu bao 5 wewe ndio msemaji wake?

Mambo personal ya Diamond wewe yanakuhusu nini?

Hivi unadhani Salva Rweyemamu anaweza kutuletea personal affairs za JK?

Senge kabisa wewe.
 
poleni mnatokwa povu za bure
..na nyie alowapa ruhusa ya kuongelea peesonal issue za watu ni nani??
h ha ha ha
Me hata sijali..kelele zenu hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…