Diamond Muwekee Ulinzi (BODYGUARDS) Tiffah

Kumbe huyu mtoto ndiyo rais wa watoto wote hapa Tanzania?
Utoto raha sana aisee 🙂 🙂
 
Takwimu zinaonesha kuwa kila baada ya masaa 5 mtoto mmoja anapotea/kutekwa SA. uliza uambiwe
Sihitaji kuuliza sababu naijua South na wewe usiamini kila kitu unachosoma kwenye internet usidhani kwa kuwa sisi tunamjua Almasi basi hata huko south ni maarufu kivile! NO masaa matano mtoto mmoja that means kila siku watoto 4-5 kwa mwezi watoto 120 heey wena
 
Mie sio maarufu wala tajiri mwanangu yupo Tz wala sio sauzi. kwahiyo mwanangu yupo salama

Mtoto wako yuko salama?duh ivi kila siku vitoto vinabakwa na kunajisiwa uswazi huku bado unasema mtoto wako yuko salama,
 
Mtoto wako yuko salama?duh ivi kila siku vitoto vinabakwa na kunajisiwa uswazi huku bado unasema mtoto wako yuko salama,hii nchi hata chizi anaweza kuiongoza maana imejaa mazwazwa tupu.
inamaana Tz sio salama kabisa sikuhizi.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…