Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
Hili ni la kupongeza!
Wasanii 'A-List' wa muziki wa kizazi kipya nchini, Diamond Platnumz na Alikiba wamejikuta wakichangia takribani shilingi milioni 41 katika Taasisi ya 'GSM' ili kusaidia jitihada za upasuaji kwa watoto wenye tatizo la vichwa vikubwa na mgongo wazi.
Awali, Diamond alitangulia kwenye taasisi hiyo na kukabidhi kiasi cha Milioni 20 kama mchango wake....
Na kisha baadae alifuatia Alikiba ambaye nae alitoa Milioni 21 hivyo kwa pamoja kutimiza kiwango cha milioni 41.
Hongereni sana Diamond & Alikiba..
Wasanii 'A-List' wa muziki wa kizazi kipya nchini, Diamond Platnumz na Alikiba wamejikuta wakichangia takribani shilingi milioni 41 katika Taasisi ya 'GSM' ili kusaidia jitihada za upasuaji kwa watoto wenye tatizo la vichwa vikubwa na mgongo wazi.
Awali, Diamond alitangulia kwenye taasisi hiyo na kukabidhi kiasi cha Milioni 20 kama mchango wake....
Na kisha baadae alifuatia Alikiba ambaye nae alitoa Milioni 21 hivyo kwa pamoja kutimiza kiwango cha milioni 41.
Hongereni sana Diamond & Alikiba..