Aaaaa Domo nini tena umeniboaje we nyumba ipi uliyoimaliza,?mwache Ally k we fata yako nyooooook na domo lako
Hihiiii makavu live
Aaaaa Domo nini tena umeniboaje we nyumba ipi uliyoimaliza,?mwache Ally k we fata yako nyooooook na domo lako
Diam0nd hajawahikuwa mjinga,kias hicho mimtu humu hta haijiongez kuwa ni ishu ya kutengenezwa,ndiyo maana hata haiongelewi,inaongelewa humu tu
Hayo yameandika kweli na Domo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
how could he STOOP SO LOW!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ally Kiba kamjibu vizuri sana
ka amekopa ye yanamhusu nini!!!!!!!!!!!
diamond hawezi kuandika hivyo wala ally kiba hawezi kujibu hivyo.....
na wewe umeamin??duuh mkiwa mnawaponda watu wa facebook na nyie muwe mnajitazama kwanza
domo kumtumia mchawi wako usihisii kwamba wotte wanasangomaa
wengine ni juhudi zao na kutegemea munguuuu
sijakuelewa
Damwani!!!!Hata mi sijamuelewa kuna sehem umeongelea uchawi??