heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Sote tunafaham uwezo wa hawa watu kimziki ingawa wanazidiana ukubwa wa majina
Davido akiwa i msanii mkubwa kabisa Afrika na duniani.
ambapo anasumbua na wimbo wake wa SKELEWU pamoja na dancing style yenye jina hilo hilo la SKELEWU
Pamoj na Diamond anaetamba na wimbo wake wa number one ambao ndani yake kuna dancing maarufu ya ngololo
.Vichwa hivi vilikutana jumamosi ya week iliyopita kabla ya show ya fiesta nakukubaliana watengeneze kitu kimoja,ngololo na skelewu waweke ndani ya truck moja..ndipo wakafanya remix ya number one..
(photo by heaven)
kesho Diamond ataruka to Naija kumfata Davido kwa ajili ya kutengeneza video na kwa maneno ya Davido mwenyewe baada ya kuusikiliza wimbo alieleza ni kias gan utasubmua sana nchini mwake Nigeria na Africa kwa ujumla..
stay waiting kuna vitu vizuri saaana vinakuja toka kwa Diamond ambapo kuna collabo nyingine kafanya na msanii mwingine nyota wa Nigeria..
Mungu mbariki boss wangu..
Mungu ibariki bongo fleva izidi kupaa...
Davido akiwa i msanii mkubwa kabisa Afrika na duniani.
ambapo anasumbua na wimbo wake wa SKELEWU pamoja na dancing style yenye jina hilo hilo la SKELEWU
Pamoj na Diamond anaetamba na wimbo wake wa number one ambao ndani yake kuna dancing maarufu ya ngololo
.Vichwa hivi vilikutana jumamosi ya week iliyopita kabla ya show ya fiesta nakukubaliana watengeneze kitu kimoja,ngololo na skelewu waweke ndani ya truck moja..ndipo wakafanya remix ya number one..
(photo by heaven)
kesho Diamond ataruka to Naija kumfata Davido kwa ajili ya kutengeneza video na kwa maneno ya Davido mwenyewe baada ya kuusikiliza wimbo alieleza ni kias gan utasubmua sana nchini mwake Nigeria na Africa kwa ujumla..
stay waiting kuna vitu vizuri saaana vinakuja toka kwa Diamond ambapo kuna collabo nyingine kafanya na msanii mwingine nyota wa Nigeria..
Mungu mbariki boss wangu..
Mungu ibariki bongo fleva izidi kupaa...