mtegemea Mungu
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 290
- 507
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na nyie wanawake wamikoani mna kelele sana.
[emoji23][emoji23]Watanzania wenzangu bhnasiku nikikutana nae namgonga makusudi
Kwanini ashindwe?L
Kwa uliposema uwezo wa kununua anao, kuna mtu alikuandikia..?
Haya nenda kasome tena nlipokuqoute pale uliandika nini.Kwanini ashindwe?
Hata wewe unaweza tuu mkuu kumiliki flash car
Waswahili walisema "Mali bila daftari, hupotea bila habari".Kuna watu wanaangaika kwa kweli,mtu anauliza kama liability au asset,hawajiulizi hadi mtu kaweza kupata hiyo pesa ya kununua hiko kitu unachojiuliza wewe kama ni liability au asset huoni kama kakuzidi akili huyu mtu ........ maana yeye sio Serikali yako kusema inatumia pesa ya wananchi masikini kwenye vitu visivyo na tija.
Ni maoni tuu mkuu nimetowa cos wengine wanasema hana huo uwezo kabisa,samahan kama nimekukwaza wangu,just take easy...Haya nenda kasome tena nlipokuqoute pale uliandika nini.
Just take easy wanguHaya nenda kasome tena nlipokuqoute pale uliandika nini.
Liability out of question. But for him could be asset since he can use it for branding and such may beNi Liability au Asset?
Nimeshaisikia, na ninaitumia sana kwenye shughuli zangu, na uenda hata DIAMOND anaitumia hiyo kanuni na ndio maana kila siku anakuwa kimuziki na kimaisha. Hasingekuwa anaitumia hiyo kanuni nadhani tungeshamsahau siku nyingi.Waswahili walisema "Mali bila daftari, hupotea bila habari".
Ushawahi kusikia hiyo methali?
Unafahamu asset na liability zinahusikaje hapo?
Mtu anayeitumia hiyo kanuni hawezi kununua Rolls Royce kwa usawa huu.Nimeshaisikia, na ninaitumia sana kwenye shughuli zangu, na uenda hata DIAMOND anaitumia hiyo kanuni na ndio maana kila siku anakuwa kimuziki na kimaisha. Hasingekuwa anaitumia hiyo kanuni nadhani tungeshamsahau siku nyingi.
Wachina wana aina zao tofauti...zinashindana sokoniMchina hatengenezi kweli hilo? Enzi za Hummer mchina nae alifyatua umaarufu wa Hummer sasa umefifia.
Mimi wa mkoani, ila hiki ulichokiandika hakihusiani na wanaume wa Dar ila kina sound kama wivu mtokoto vile.....Haya wanaume wa dar es Uzi huu unawahusu
Upo sahihi kabisaMtu anayeitumia hiyo kanuni hawezi kununua Rolls Royce kwa usawa huu.
Labda kama kapewa kutangaza biashara.
Hiyo migari ukija kulipa kodi hapa sishangai ikifika zaidi ya USD 500,000
This is liability not an assetNi Liability au Asset?
Acha kukimbia kivuli chako na wewe ndio wale wale wala chips mayai na virigisi na haumalizi unasema eti umeshiba yaani mna shida nyie wa huko DSMMimi wa mkoani, ila hiki ulichokiandika hakihusiani na wanaume wa Dar ila kina sound kama wivu mtokoto vile.....
Hii ni RR Phantom Diamond alioionesha ni RR GhostZipo used sio lazima achukue mpya.
hio GBP 80,000.
"KWA USAWA HUU" sio hali ya watu wote,jisemee kwa nafsi yako.Mtu anayeitumia hiyo kanuni hawezi kununua Rolls Royce kwa usawa huu.
Labda kama kapewa kutangaza biashara.
Hiyo migari ukija kulipa kodi hapa sishangai ikifika zaidi ya USD 500,000
Kama umeona ile video ni RR GhostAlafu nasikia anataka kununua eti RR Phantom! Kwa pesa ipi alionayo ya kununua gari ya zaidi ya 800M kabla ya kodi?
kalichukua kwa sababu kalisnap snapchat..Aliyo post Diamond ni RR Ghost ya Mosha ni RR Phantom
.ila bdo ni mapema sana kuamin mondi kachukua mchuma japo alisema mwaka huu lazma avute RR