Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Haji Manara " Bugatti" ameandika
"Shughuli ilikuwa hapa, Dua alizosoma Nassib sio za nchi hii, hakuacha Dua hadi helicopter ilipotua, sasa wakati chuma kinakata kona kuingia kwa Mkapa,, Nassib aliwataja watoto wake wote majina,, nikasikia kina latifa na Nilan Wanatajwa kiarabu, jamaa ndio maana tulivotua tu akatoka baruti😜😜"
Alichojibu diamondplatnumz
"hahahahahahahh kwakweli wakati helicopter inaanza kuingia Uwanjani sikuwa na amani kabisa... Nlikuwa naona kama anaweza kugonga Paa za Uwanja zile😂😂😂😂
Weka comments yako hapa??
"Shughuli ilikuwa hapa, Dua alizosoma Nassib sio za nchi hii, hakuacha Dua hadi helicopter ilipotua, sasa wakati chuma kinakata kona kuingia kwa Mkapa,, Nassib aliwataja watoto wake wote majina,, nikasikia kina latifa na Nilan Wanatajwa kiarabu, jamaa ndio maana tulivotua tu akatoka baruti😜😜"
Alichojibu diamondplatnumz
"hahahahahahahh kwakweli wakati helicopter inaanza kuingia Uwanjani sikuwa na amani kabisa... Nlikuwa naona kama anaweza kugonga Paa za Uwanja zile😂😂😂😂
Weka comments yako hapa??