Wote malaya.Ila alishaliwa na Mondi huyu malaya
Bwana mwakito hadi huruma jamani CHEZEA UA JEUSI MPAKA MATUNGULI YANAMBAMBA. NYOOO KAZOEA KIKI ILA SAFARI HII IMEBUMA PTUUUUUUUU LA USONI
#ikikuumamezawembe#
#ukitakashariniquoteuonemfyuuuuuu#
Ndugu Mwakitombe Yamemkuta
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂 😂 😂!Bwana mwakito hadi huruma jamani CHEZEA UA JEUSI MPAKA MATUNGULI YANAMBAMBA. NYOOO KAZOEA KIKI ILA SAFARI HII IMEBUMA PTUUUUUUUU LA USONI
#ikikuumamezawembe#
#ukitakashariniquoteuonemfyuuuuuu#
Hili ndio tatizo la kuokota okota ovyoooMsanii nyota wa bongo fleva diamond platnumz ameajikuta akitukanana na mrembo lyyn Ni video vixen
Diamond amemtuhumu mrembo huyo kutaka kuwatenganisha na mpenzi wake tanasha, daimond amepost akimtuhumu mrembo huyo kumtumia picha za kumshawi. Hii imetokana na baada kuvuja picha ikionyesha mrembo lyyn akiwa kwenye kitanda ambacho pia amekuwa akilala mrembo tanasha kutokana Kenya.
Mrembo lyyn nae amemjibu diamond kwa kusema ataachia video Kama ushahidi ili diamond aache ushamba na kuwa mtu mavimavi.View attachment 1055367View attachment 1055368View attachment 1055369
Sent using Jamii Forums mobile app
Dee anaogopa ua jeusi au? Ila demu wake anamuamini 100%. Naye kaamua kumuaminisha..
Ila lini mtu anaforward picha zake alizosevu au anakuwa ametumiwa na nani na ndio amfowadie anayemsumbua!!!! Au kutoka kwa mpiga picha?
Zile apps za kutengeneza chat feki zitawahusu mbeleni.. akirusha ya namba mnitonye nisome udaku nicheke nisizeeke mie
punguza umbea.
Halijui kama lenyewe ndio linachoreshwa hahahahahahahahahWrite your reply...sasa hapo mbona chibu hana hasara??
hilo Malaya halioni hata aibu lilishagongwa afu limetemwa na bado anamuita mgegedaji mshamba??
mgegedwaji na mgegedaji nani mshamba??