Weeeee bwana wao huyo wanavyomuelewa hadi wengine hawaonekani!Kwani ommy nae usiandike kama ulivyoandika kwa mond au yy si mtanzania
Huyo ndugu yako ana akili kweli?analinganisha bugati na vits huyo ommy kuandikwa tu hapo we shukuru maana hakustahili hata kuandikwa.Baba laoo[emoji16][emoji16]