Huyo ni kunguru hafugiki kijana asijidanganye kama anaweza kummiliki huyo huyo kila mboo ni ya kwake
hawa ni baadhi tu ya watu waliowahi ku-engage lakini ndoa haikufungwa. All the best diamond, labda this time ataamua kuolewa!jamaa naona kaamua kuweka mzoga ndani
View attachment 38266View attachment 38267View attachment 38268View attachment 38269View attachment 38270
Huyo ni kunguru hafugiki kijana asijidanganye kama anaweza kummiliki huyo huyo kila mboo ni ya kwake
yangekua lyk yale mapango ya kale
nawakubali sana wakali wanaooa au kuwa na mademu permanent pasua kichwa huku wakijua!inaonyesha jinsi gani mwanaume yupo ready kukabiliana na changamoto!......wazee wakuogopa kugongewa wanaoa kijijini au waimba kwaya walokole feki au full mahijabu lakini bado wanagongewa!!!!!wema kiwango ile kitu haina makombo!
Jamani tuangalieni huyu bradha asije geuka juma nature na kumtungia huyu binti nyimbo za kashfa,kama oooh sitaki demu,mara oooh,kapigwa denda mpaka gari ikagoma kwenda,mara haya wewe si msaniii,nenda kaonyeshe kwenye tii vii,nakumbuka drama hizi zinafanana kabisa na za Nature na sinta!!
huyu binti juzi kabambwa akitoka gesti na Mlela asubuhi diamond akiwa safari au ndio mambo yale aliyoimba Mwana FA 'aliyelala na mvishwa pete jana yake hakuwa mvisha pete' ? tuombe pete iweze kumbadili,binafsi nilimfahamu huyu binti miaka kadhaa ilopita kikazi she is soo sweet lakini anadanganyika kirahisi sana na anaamini kila mtu.Duuuu, kaka anamoyo huyuuuu....... haya all the best kwa wapenzi.