Diamond na Tunda mahaba niue

Ushamba mzigo!! Huyo mond Nyapu kazijulia ukubwani sijui
 
Hata kapicha dadake ?!
 
Kwakwakwakwakwaaaaaa kwa hiyo kumuita mtu Mzee ni kwamba unamchukia heheheheeee uwiiiiiiiii karibu madale guest house
Mnaponifurahishaga sehemu moja tu! Yaani hamna hoja yoyote ya maana dhidi ya Zari except umri. Yaani kwa kutumia hoja ya umri kum-discredit mnathibitisha mmekosa bakora ya maana dhidi yake! Ajabu eti hata Mange na mwenyewe anamwita Zari mzee wakati mwenyewe yupo above 35!
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] off course porn star hana mpinzani!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 

Huwezi kuchepuka km unampenda mkeo,.utamuheshimu na kumlinda acha uongo wako wa kizamani
 
Cc Buroka wa janjawid ( forex)
 
mhhhh mwanamke unashangilia mwanamke mwenzako kugongwa na kutaka waendelee kugongwa na mtu huyo huyo nadhani wanaume ndo ilitupasa kufurahia diamond kugonga mademu wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…