Ni kuwa tu hawezi kusema wazi kakini moyoni ana mkumbuke IvanTatizo yule mtoto Diamond hana heshima anamdhalilisha mama wa watu. Na mama mwenyewe anavyopenda umaarufu anang'ang'ania hapo hapo utasema kaambiwa ndo nyota yake ya kutajirikia. Yule mmama alivyo mzuri ukiambiwa anachezeshwa segere na mtoto kama Diamond unaweza ukalia kwa hasira
Ivan alikua anamuheshimu sana Zari na alikua anampenda.Ni kuwa tu hawezi kusema wazi kakini moyoni ana mkumbuke Ivan
Miaka 34! Zari huyo Huyo au mwingine! Hahahahaha!Sasa unamuita mzee kwa kigezo gani?? Ina maana kazeeka mno miaka 34?? Acheni chuki. Halaf naona waschana wengi mnamuandama huyu inocent speechless girl
Zari ana 49 sio 34Sasa unamuita mzee kwa kigezo gani?? Ina maana kazeeka mno miaka 34?? Acheni chuki. Halaf naona waschana wengi mnamuandama huyu inocent speechless girl
Zari ana 49 ,2000 alikua ana 31 hesabu mpaka leoKwakwakwakwakwaaaaaa kwa hiyo kumuita mtu Mzee ni kwamba unamchukia heheheheeee uwiiiiiiiii karibu madale guest house
mmmh mbona bado analipa lipa namuona....mwanamke mwenye 49 ana uwezo wa kuzaa kweli?Zari ana 49 ,2000 alikua ana 31 hesabu mpaka leo
Eee ndioommmh mbona bado analipa lipa namuona....mwanamke mwenye 49 ana uwezo wa kuzaa kweli?
Sana tuIvan alikua anamuheshimu sana Zari na alikua anampenda.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Zari kazaliwa mwaka 1980. Mwaka mmoja na mange kimavi.Mnaponifurahishaga sehemu moja tu! Yaani hamna hoja yoyote ya maana dhidi ya Zari except umri. Yaani kwa kutumia hoja ya umri kum-discredit mnathibitisha mmekosa bakora ya maana dhidi yake! Ajabu eti hata Mange na mwenyewe anamwita Zari mzee wakati mwenyewe yupo above 35!
Kaaazi kweli kweliZari kazaliwa mwaka 1980. Mwaka mmoja na mange kimavi.
Tena kimavi alitangulia kuzaliwa yeye. Kwa ufupi mange ni mkubwa kuliko zari.
Halafu anajiona age-mate na TundaZari kazaliwa mwaka 1980. Mwaka mmoja na mange kimavi.
Tena kimavi alitangulia kuzaliwa yeye. Kwa ufupi mange ni mkubwa kuliko zari.
Mama ake zari amezaliwa 1958/9 sikumbuki vizuri. Watu ni visa tuIvan Semwanga was a Ugandan-born South African socialite. He was one of the members of the self-styled Rich Gang group well known in both South Africa and Uganda. Wikipedia
Born:
December 12, 1977, Kayunga, Uganda
Then ivan died akiwa na umri wa miaka 40
Ila kuna watu wanasema zai ana miaka 49 ina maana zari alimzidi umri hata ivan?
Jealous kills jaman duh
Zarinah Hassan
Diamond Platnumz's wife
Born:
September 23, 1980 (age 37), Jinja, Uganda
Mama ake zari amezaliwa 1958/9 sikumbuki vizuri. Watu ni visa tu