Diamond na Wasafi wanafanya vizuri ila kuna watu wanajifanya kutojua,Rhumba haimo kwenye nyimbo bora za mwezi EAC

Diamond na Wasafi wanafanya vizuri ila kuna watu wanajifanya kutojua,Rhumba haimo kwenye nyimbo bora za mwezi EAC

Angalieni kwenye top 10 ya nyimbo bora za mwezi hapa chini

Mbona hiyo inajukana kabisa wcb ndio wametawala mziki wa bongo Wala hakukuwa na haja ya kuanzisha Uzi.Wcb ndio yenye mashabiki wengi Tanzania kuliko msanii yoyote wa hapa bongo na pia wanafanya vizuri kimataifa kutokana na nguvu ya diamond aliyonayo Sasa hao wachache wanaosema hawafanyi vizuri wanakazi gani? kama wanakubalika na mamilioni ya mashabiki.
 
Back
Top Bottom