Diamond na Wema "WARUDIANA" ....

ata wewe ukirudiwa na mmeo nitapost,,ilimradi uwe celeb.

Hahahaha kwanza muulize vipi keshapata mchumba wa kuoa..maana alikua anatafuta mchumba jf hahaha chezea kukosa mvuto wewee..pesa hana sura hana halafu anataka mke...
 
For Penny being with Naseeb is a first class mistake because I dont think if Naseeb really loves Penny and from my point of view Penny has more expectations from this relationship and as you know expectation is the source of many heart breaks

I don't knw why u feel sympathy for the super bch like Penny,,remember she stole Domo from Wema..and she was one of the closest friend of Wema.,,wat goz around comes around
 

Natamani kumjua huyo Halima Kimwana lol!!!!!

Mbona nimeona picha zao za besidei na kucholewa Love kitandani!!!!!

nicheke Heaven mie..............
 
I don't knw why u feel sympathy for the super bch like Penny,,remember she stole Domo from Wema..and she was one of the closest friend of Wema.,,wat goz around comes around
Hiyo kawaida kwa nyie wanawake kuibiana mabwana au umesahau msemo unaosema kuwa "Sistaduu huna adui mkubwa kama shosti"
 
wanaume hawajui kutafuta maisha ni kitu kingine na mapenzi kitu kingine.Diamond ile tabia yake ya kukuwadia kila siku mademu wapya na halimakimwana aaache kabisa.
mutoto ya mujini najua habari
 
Natamani kumjua huyo Halima Kimwana lol!!!!!

Mbona nimeona picha zao za besidei na kucholewa Love kitandani!!!!!

nicheke Heaven mie..............

umbea unanoga sasa picha gani?besidei ya nani?halima kimwana mdaka madanga mmoja hapa town alilala na domo pesa tamu akaamua kuwa kiwadi we mgoogle halima kimwana manywele utamuona tupige umbea sie wasiotaka umbea waende siasani afu ile show ya domo sikumbuki burundi au rwanda kulikuwa kuna besidei ya kakaye halima anahela ndeefu kumtumia kimwana ticket na marafiki zake 5 ndo hapo domo akapewa dili ikabidi domo apige show ha ha ha mjini raha halima kazi kukesha usiku mchana kulala kodi kila kitu domo na allowance juu akimpelekea watoto wakaliiiiiii siku akikosa mademu halima anaingia mzigoni.Mjini rariiiiiiiiii
 
mutoto ya mujini najua habari

mume wangu acha mkeo nipige umbea si unajua kuamka 12 asubuhi kuingia mzigoni kutoka saa kumi na 2 jioni nkitoka nimechoka na kazi ya kukuhudumia wewe mda wa umbea hakuna so mchana hapa kuibia ibia kidogo umbea si unajua tena
 

Besidei ya Diamond.....nimeziona kule mtaa wa saba........Ngoja nizicopy hapa

Nimemuona huyo Halima lol...Bonge la Jimama...kweli mjini pesa inatafutwa.............

Hiko kipindi alichoendaga katika Show nilisikia lakin nilikuwa simjui huyo Halima
 
Umbea huu!!!! Mbona inasemekana kama diamond alikuwa kapombeka ndio pic zimepigwa alf mawifi ndio walitengeneza issue. Insta bibie alichelewa kutuma wishes kwa bwana.
Kama wema kweli kamrudia diamond anampenda sana
 

duh kweli pesa kharamu
 
mume wangu acha mkeo nipige umbea si unajua kuamka 12 asubuhi kuingia mzigoni kutoka saa kumi na 2 jioni nkitoka nimechoka na kazi ya kukuhudumia wewe mda wa umbea hakuna so mchana hapa kuibia ibia kidogo umbea si unajua tena
hata mamy.....mwanamke umbea bana
haya uwai kurudi nyumbani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…