Nimesikia matangazo ya redio clouds kuwa siku ya ijumaa keshokutwa patakuwa na interview ambayo atakuwepo zari na diamond, itaonyeshwa live na itakuwa live redioni. Atakuwepo Gerald wa powerbrekfast na hudson wa Cloudstv wataongoza hiyo show itakayoanza saa 12 asubuhi mpaka saa nne nasikia itafanyikia kutoka nyumbani kwa diamond platnam. Pia itakuwa connected kwenye simu atakuwa sreamed live. clouds hawana jambo dogo.