SaaaaanaHuyu jamaa aliona mbali Sana ku date na zari
MTOTO : Eti baba mwanaume ni nani?Diamond aliokota dume
hahaahaha majungu hayo sasaMTOTO : Eti baba mwanaume ni nani?
BABA : Mwanaume ni mtu anyejali familia yake,anahakikisha wanapata mahitaji ya msingi na anailinda vyema.
MTOTO : Nikiwa mkubwa nataka niwe mwanaume kama mama.
Diamond kuokota Dume sio majungu, ila mtoto kutaka kuwa mwanaume kama mama akiwa mkubwa ni majungu. haya, tutaona kama mwaka mpya ni sikukuu ya kidini....hahaahaha majungu hayo sasa
Wakati wakisubiri ujio wa mtoto wao wa kiume, Nillan, Zari na Diamond walipiga picha kwaajili ya jarida la Mamas and Papas la nchini Afrika Kusini. Na sasa jarida hilo linaingia mtaani February mwaka huu. Kupitia Instagram, Mamas and Papas, wameshare cover lake ambalo limepokelewa na maoni tofauti.
ha hahaha basi mimi na wewe ni wapika majungu tuacheDiamond kuokota Dume sio majungu, ila mtoto kutaka kuwa mwanaume kama mama akiwa mkubwa ni majungu. haya, tutaona kama mwaka mpya ni sikukuu ya kidini....
Dah teh teh teh!! Haya matatizoMTOTO : Eti baba mwanaume ni nani?
BABA : Mwanaume ni mtu anyejali familia yake,anahakikisha wanapata mahitaji ya msingi na anailinda vyema.
MTOTO : Nikiwa mkubwa nataka niwe mwanaume kama mama.
Haya tuache majungu kwa pamoja, na twende tukapige picha ya pamoja. au tusubiri kijacho aote chogo?ha hahaha basi mimi na wewe ni wapika majungu tuache
ngoja kijacho aote chogo ndiyo tuendeHaya tuache majungu kwa pamoja, na twende tukapige picha ya pamoja. au tusubiri kijacho aote chogo?