Diamond: Nana ilikuwa nifanye na Ludacris

bizzle11

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
246
Reaction score
198
Nimemsikia Dangote kwenye kipindi cha Mseto, anasema kuwa ile collabo aliyofanya na Mr Flavour alikuwa aifanye na Ludacris...
 
Mmmh mbona maandishi machache umetuletea? hata hakusema kwa nini hakufanya nae? Uongo huu umeleta
 
Mmmh mbona maandishi machache umetuletea? hata hakusema kwa nini hakufanya nae? Uongo huu umeleta

Anasema baadae akaona mahadhi ya ngoma yanaendana na mr Flavour so akaamua kuachana na Ludacris..
 
tusubir parapanda ikishalia ndipo tutapatana..otherwise don't Punic amani full yaani kama baba kama motto..?!
 
Anasema baadae akaona mahadhi ya ngoma yanaendana na mr Flavour so akaamua kuachana na Ludacris..

Kwa hilo kapatia. Flavour katia flavour nzuri kwenye wimbo na sauti yake ile.
 
Alisema alipokuwa anahojiwa na yule mtangazaji wa kipindi cha Mseto cha Citizen TV, na jana mchana interview ilirushwa..
 
asee raia,I would like to say that hii thread ikooutdated coz kama,chibu mwenyewe kasema alikuwa afanye collabo na ludacris,lakini hakufanikisha nw iko na flavour,xo me coni haja ya kuendelea kulike,kureply kwa thread kama hii,,ko napenda kuchukua nafasi hii kusema kwamba Hii kamba imefungwa rasmi..!!aksantheen..?!!
 
Habari njema wadau...

Upigaji kura tuzo za Nigerian Entertainment Awards umefunguliwa rasmi hii leo..

Diamond anawania kipingele cha best African artist (ambacho ni mahususi kwa wasanii nje ya nigeria) .. Hivo basi tupige kura huku ni rahisi kinoma, unapiga kura mara moja tu!! kipengele chake ni cha kwanza, una click kwenye tick na ikiwa ya kijani inamaana kura imepokelewa (hakikisha kutumia browser)

link hii
⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇

http://neaawards.com/index.php/voting-page/

⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…