Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
show off zipisipendagi show off kabisa
😉Anachokifanya Diamond na WASAFI TV kuwaunganisha wasanii wote Tanzania hasa wale ambao walikuwa wametengwa na Clouds na EATV....si kitu kidogo. Ni kitu kikubwa sanaa na cha kupongeza mnoo...
Pamoja sana Wasafi TV
za kulipwa bia kama malipo ya showshow off zipi
kiba TV IPO ila haitaki sifaAnachokifanya Diamond na WASAFI TV kuwaunganisha wasanii wote Tanzania hasa wale ambao walikuwa wametengwa na Clouds na EATV....si kitu kidogo. Ni kitu kikubwa sanaa na cha kupongeza mnoo...
Pamoja sana Wasafi TV
Mitusi yake ni level ya PHD walahiule upande wapili watasema eti yule dada wa insta ndo yupo juu yule anayetukanaga kila mtuu ..
aje bongo sasaMitusi yake ni level ya PHD walahi
View attachment 734141
Kwa kizazi hiki ukubali ukatae, Diamond ndio anazungumziwa zaidi kuliko msanii yoyote hapa Tanzania kuanzia mitaani hadi mitandaoni
Imekuwa kawaida sana Diamond kushikilia trending tano za juu kwa sababu ukweli ni kwamba Diamond ndio anafatiliwa kuliko msanii yoyote hapa bongo, iwe anafatiliwa kwa nia nzuri au kwa nia mbaya hali inabaki pale pale, Diamond ndio habari ya mjini.
Kwa mfano kwa wiki hii Tanzania nzima huyu kijana ana video zake nne zinazoongozwa kutazamwa na taifa zima.
View attachment 734059