KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Habari wanajamvini .katika kufuatilia habari na kuhudhuria kumbi mbalimbali za starehe mimi nikiwa kolokoloni huwa nakutana na wakati mgumu sana katika kazi yangu siku akiwa Diamond ndiyo mtumbuizaji maana wattu umiminika kama sunami hivyo ulinzi huwa ni mgumu sana maana watu hutuzidia tofauti na wakiwa wasanii wengine.
Pia kampuni za bia na soda mambo huwa shwari bila kusahau washona nguo na wauza vitenge maana vijana hushona mitindo ili wafanane na star huyu.
Muziki wa jamaa huyu kila ukiwasha tv za kenya uganda utaona anatamba bila shaka anakubalika zaidi afrika mashariki kuliko wasanii wote kwa sasa .
Kuna wapuuzi wachache wanattaka kumuhujumu lakini hawataweza maana dhahabu hata iwekwe kwenye mavi haishuki thamani.
Pia kampuni za bia na soda mambo huwa shwari bila kusahau washona nguo na wauza vitenge maana vijana hushona mitindo ili wafanane na star huyu.
Muziki wa jamaa huyu kila ukiwasha tv za kenya uganda utaona anatamba bila shaka anakubalika zaidi afrika mashariki kuliko wasanii wote kwa sasa .
Kuna wapuuzi wachache wanattaka kumuhujumu lakini hawataweza maana dhahabu hata iwekwe kwenye mavi haishuki thamani.