Diamond ni uwezo pekee au...!

el nino

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
4,712
Reaction score
5,058
Yes, kama heading inavyosomeka................

kwanza nianze kwa disclaimer, mi ni mshabiki mkubwa sana wa DIAMOND, SIMBA CHIBUDIII CHIBUDEEEE...........

Pili, nimpe sifa zake Diamond platnumz kwa kuwa na consistency ya muda mrefu sana, miaka kumi kwenye game bado anatoa hits non-stop na bado ndiye superstar nambari moja kwenye muziki hapa bongo.

Tatu, nije kwenye mada, hivi karibuni Diamond amekuwa akipiga shows mfululilizo, mfano ni hii juzi alipiga ijumaa Burundi, jumamosi akapiga Rwanda, Jumapili akapiga Moshi Tanzania...........!!! , shows tatu , katika nchi tatu ndani ya siku tatu tofauti..!!!!!!

Sio kazi rahisi, na historia inatuonyesha kuwa kutokana na kazi ya muziki kuwa ngumu hasa kwenye kutumbuiza mida ya usiku mfululizo ,wasanii wengi wakubwa walijikuta wamekuwa addicted kwa kutumia dawa mbalimbali mfano,kina Marehemu Michael Jackson, Lil wayne, Marehemu whitney houston, Britney spears ,Chris brown n.k.

Sasa najiuliza kwa huyu supastaa nambari moja hapa nchini ni uwezo pekee unaomfanya awe na uwezo kupiga show mfululizo au kuna namna nyinginine.

Kama ni uwezo pekee basi hakika tutakuwa tunamshuhudia "The Greatest Music Performer" in the history of Tanzanian Music at Peak of his Powers, show tatu mfululizo katika nchi tatu tofauti ndani siku tatu na zote akizipiga kwa kuimba na kucheza si jambo la kawaida na pengine ndio linafanyika kwa mara ya kwanza Tangia tumepata uhuru.
 
Diamond kafanya mambo ambayo yatachukuwa muda mrefu sana kuja kufanywa na msanii mwingine wa hapa Tz.

Kweli mkuu, ila kinachonishangaza ni kwamba huyu mtu ana mapafu ya farasi au kuna vitu anatumia, show 3 back to back sio mchezo halafu hapo ameshatoka USA kapiga shoo nyingine kadhaa na kabla ya USA alikuwa Dodoma... kwa haraka haraka ndani wiki mbili anaweza akawa amefikisha show 10 na kazipiga nchi tofauti
 
xa unamshangaa diamond akat wanga wanakexha karibu kila cku na asubuh hawalali wapo busy2... huyu jamaa anajua anachofanya anatengeneza hexhma yake binafsi...
ila wao si hawaimbi na kucheza wanatembea tu?
 

Jamaa ni true international performer kupenda kwake kujifunza ndio kumemfanya awe hivyo alivyo!

Watu kama Shaggy pamoja na uzee wake ana uwezo wa kupiga show hata masaa manne non stop! bila shaka hata Diamond lazima kajifunza kutoka kwa watu kama hawa. Sitaki kuamini kama kuna energy enhancers zozote anazotumia.
 
xa unamshangaa diamond akat wanga wanakexha karibu kila cku na asubuh hawalali wapo busy2... huyu jamaa anajua anachofanya anatengeneza hexhma yake binafsi...

Kwan Mondi anatumia uchawi mkuu?
 

Na iwe hivyo mkuu...

Mi sijawahi kusikia kama kuna msanii amefanya alichofanya show 3 , siku 3 , nchi 3 ..!
 
huyu mtu ana mapafu ya cheetah si bure huyu
 
Show yake ya Burundi ya VIP kiingilio cha chini kilikuwa dola 350 ichenji kwa hela za bongo alafu kajaza uwanja mpaka Kuna mashabiki wengine wamebaki nje ndo ujue huyu jamaa anatisha km alivyosema member mmoja hapo juu hakuta tokea tena kuwa na msanii mkubwa kama diamond Mambo anayofanya ni makubwa Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…