Fanya hata Wewe Kama rahisi...Promo at its best
Viana wa leo bwana!!! sasa wasanii wa siku hizi wana kazi gani? mtu anaweka CD aliyorekodi miaka kibao na kuzuga kama anaimba wakati hakuna lolote!!!? sasa atachoka kwa kipi?? kwa kusema mikono juu au sei yoooo!!! yaani mimi nipoteze muda wangu kuangalia mtu anayefanya maigizo kwa kuweka CD eti anakonga nyoyo???kama mtu haimbi live siwezi kumsikiliza nafumba macho ama natoka kabisa hata kama ni sherehe inaharibikia hapo hapo iwe kwaya!!! iwe bendi iwe bongofuleva... poterea mbali sasa wewe komaa na maneno ya kizungu niliyoyaandika kwa makusudi ukidhani nimekosea.Yes, kama heading inavyosomeka................
kwanza nianze kwa disclaimer, mi ni mshabiki mkubwa sana wa DIAMOND, SIMBA CHIBUDIII CHIBUDEEEE...........
Pili, nimpe sifa zake Diamond platnumz kwa kuwa na consistency ya muda mrefu sana, miaka kumi kwenye game bado anatoa hits non-stop na bado ndiye superstar nambari moja kwenye muziki hapa bongo.
Tatu, nije kwenye mada, hivi karibuni Diamond amekuwa akipiga shows mfululilizo, mfano ni hii juzi alipiga ijumaa Burundi, jumamosi akapiga Rwanda, Jumapili akapiga Moshi Tanzania...........!!! , shows tatu , katika nchi tatu ndani ya siku tatu tofauti..!!!!!!
Sio kazi rahisi, na historia inatuonyesha kuwa kutokana na kazi ya muziki kuwa ngumu hasa kwenye kutumbuiza mida ya usiku mfululizo ,wasanii wengi wakubwa walijikuta wamekuwa addicted kwa kutumia dawa mbalimbali mfano,kina Marehemu Michael Jackson, Lil wayne, Marehemu whitney houston, Britney spears ,Chris brown n.k.
Sasa najiuliza kwa huyu supastaa nambari moja hapa nchini ni uwezo pekee unaomfanya awe na uwezo kupiga show mfululizo au kuna namna nyinginine.
Kama ni uwezo pekee basi hakika tutakuwa tunamshuhudia "The Greatest Music Performer" in the history of Tanzanian Music at Peak of his Powers, show tatu mfululizo katika nchi tatu tofauti ndani siku tatu na zote akizipiga kwa kuimba na kucheza si jambo la kawaida na pengine ndio linafanyika kwa mara ya kwanza Tangia tumepata uhuru.
Mnatuvunja mbavu aisee.Mbona hata Ali kiba anapiga sana hizo show. Sema hapendi show off. Mara nyingi yeye anaimbia chumbani.
kwani Ruttashobolwa anasemaje??
alikiba keshafanya sana hizi sema hapendi show off
Tuache utani huyu Mwamba anapiga kazi haswa..hayo mengine ni ziadaYes, kama heading inavyosomeka................
kwanza nianze kwa disclaimer, mi ni mshabiki mkubwa sana wa DIAMOND, SIMBA CHIBUDIII CHIBUDEEEE...........
Pili, nimpe sifa zake Diamond platnumz kwa kuwa na consistency ya muda mrefu sana, miaka kumi kwenye game bado anatoa hits non-stop na bado ndiye superstar nambari moja kwenye muziki hapa bongo.
Tatu, nije kwenye mada, hivi karibuni Diamond amekuwa akipiga shows mfululilizo, mfano ni hii juzi alipiga ijumaa Burundi, jumamosi akapiga Rwanda, Jumapili akapiga Moshi Tanzania...........!!! , shows tatu , katika nchi tatu ndani ya siku tatu tofauti..!!!!!!
Sio kazi rahisi, na historia inatuonyesha kuwa kutokana na kazi ya muziki kuwa ngumu hasa kwenye kutumbuiza mida ya usiku mfululizo ,wasanii wengi wakubwa walijikuta wamekuwa addicted kwa kutumia dawa mbalimbali mfano,kina Marehemu Michael Jackson, Lil wayne, Marehemu whitney houston, Britney spears ,Chris brown n.k.
Sasa najiuliza kwa huyu supastaa nambari moja hapa nchini ni uwezo pekee unaomfanya awe na uwezo kupiga show mfululizo au kuna namna nyinginine.
Kama ni uwezo pekee basi hakika tutakuwa tunamshuhudia "The Greatest Music Performer" in the history of Tanzanian Music at Peak of his Powers, show tatu mfululizo katika nchi tatu tofauti ndani siku tatu na zote akizipiga kwa kuimba na kucheza si jambo la kawaida na pengine ndio linafanyika kwa mara ya kwanza Tangia tumepata uhuru.
hebu kajaribu wewe halaf ulete mrejeshoViana wa leo bwana!!! sasa wasanii wa siku hizi wana kazi gani? mtu anaweka CD aliyorekodi miaka kibao na kuzuga kama anaimba wakati hakuna lolote!!!? sasa atachoka kwa kipi?? kwa kusema mikono juu au sei yoooo!!! yaani mimi nipoteze muda wangu kuangalia mtu anayefanya maigizo kwa kuweka CD eti anakonga nyoyo???kama mtu haimbi live siwezi kumsikiliza nafumba macho ama natoka kabisa hata kama ni sherehe inaharibikia hapo hapo iwe kwaya!!! iwe bendi iwe bongofuleva... poterea mbali sasa wewe komaa na maneno ya kizungu niliyoyaandika kwa makusudi ukidhani nimekosea.
Fid Q kapiga show moja la balaa uzinduzi wa album yake ya kitaolojia, amepiga kwa live band sauti inasikika vizuri hakuna cha mikono juu, say yeeeeh yeeeeh. Nilikua sijamfaham vizuri na mwingine ni Christian BellaViana wa leo bwana!!! sasa wasanii wa siku hizi wana kazi gani? mtu anaweka CD aliyorekodi miaka kibao na kuzuga kama anaimba wakati hakuna lolote!!!? sasa atachoka kwa kipi?? kwa kusema mikono juu au sei yoooo!!! yaani mimi nipoteze muda wangu kuangalia mtu anayefanya maigizo kwa kuweka CD eti anakonga nyoyo???kama mtu haimbi live siwezi kumsikiliza nafumba macho ama natoka kabisa hata kama ni sherehe inaharibikia hapo hapo iwe kwaya!!! iwe bendi iwe bongofuleva... poterea mbali sasa wewe komaa na maneno ya kizungu niliyoyaandika kwa makusudi ukidhani nimekosea.
Ndio ukweli mkuuNyie jamaa mnanichekesha Sana.
alikiba keshafanya sana hizi sema hapendi show off
Viana wa leo bwana!!! sasa wasanii wa siku hizi wana kazi gani? mtu anaweka CD aliyorekodi miaka kibao na kuzuga kama anaimba wakati hakuna lolote!!!? sasa atachoka kwa kipi?? kwa kusema mikono juu au sei yoooo!!! yaani mimi nipoteze muda wangu kuangalia mtu anayefanya maigizo kwa kuweka CD eti anakonga nyoyo???kama mtu haimbi live siwezi kumsikiliza nafumba macho ama natoka kabisa hata kama ni sherehe inaharibikia hapo hapo iwe kwaya!!! iwe bendi iwe bongofuleva... poterea mbali sasa wewe komaa na maneno ya kizungu niliyoyaandika kwa makusudi ukidhani nimekosea.
Alikuwa ana muda mrefu pia hajapiga show za kihivyo.. tatizo lilikuwa ni nini? Yeye ni mburudishaji mzuri na sio muimbaji mzuri.
Fid Q kapiga show moja la balaa uzinduzi wa album yake ya kitaolojia, amepiga kwa live band sauti inasikika vizuri hakuna cha mikono juu, say yeeeeh yeeeeh. Nilikua sijamfaham vizuri na mwingine ni Christian Bella