[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]alikiba keshafanya sana hizi sema hapendi show off
Tumepewa angalizo hapo juu,kuna wakina Lil Wayne sasa hivi wanadondoka hovyo,kuna wakina Rose Muhando n.k.,huyu jamaa mtoa mada kuna kitu anakijua ila hataki kukiweka wazi.Kiuhalisia sio kazi rahisi kwa binadamu wa kawaida ila time will tell..Kweli mkuu, ila kinachonishangaza ni kwamba huyu mtu ana mapafu ya farasi au kuna vitu anatumia, show 3 back to back sio mchezo halafu hapo ameshatoka USA kapiga shoo nyingine kadhaa na kabla ya USA alikuwa Dodoma... kwa haraka haraka ndani wiki mbili anaweza akawa amefikisha show 10 na kazipiga nchi tofauti
umeolewa mwaka gani?,mbona kama ndoa imeshakushindaMbona wewe na pepo lako chafu huwezi kuvuka hata mtaro wa maji machafu.
Kalalwe hukoumeolewa mwaka gani?,mbona kama ndoa imeshakushinda
nyie wamama mlioolewa enzi za ruksa mna nongwa sanaKalalwe huko
kweli ile ya SAMAKIBA si ndioalikiba keshafanya sana hizi sema hapendi show off
alikiba keshafanya sana hizi sema hapendi show off
Kalalwe hukony
nyie wamama mlioolewa enzi za ruksa mna nongwa sana
kweli bhana hzo live n kwa nyimbo za akina R kelly cellin dion na baadhi kama hao coz hata MJ alikuwa akitumia cdWatu tunatofautiana, me napenda msanii aweke play-back ili muda mwingi pale stejini atumie kucheza. Maana kama kusikikiza hizo ngoma nazisikiliza kila siku, naenda kwenye show zake kupata kitu tofauti. Kuimba huku anadance naona kama concentration inapungua vile, sasa bora atumie play-back apate uhuru wa kushambulia jukwaa kwa fujo.
we ushalalwa sio?,unataka na mimi nikalalwe kama wewe,acha ushoga utakuua ndugu DiasporaGayKalalwe huko
Asante mototo wanguKaribu mjini mkuu
Ahaaaah huyo ajuza wa miaka 50 uwezo hautolee wapi?Alikiba alishawahi kupiga show nchi sita mfululizo sema huwa hapendi makuu
Kauli ya huyo jamaa Kama uwelewi ni ya kumkejeli kiba hii kauli ilianzia kutrend baada ya interview moja ya kiba kusema aliwakuwa na record level before ya wcb miaka ya nyuma hapo akiwa anazindua level yake ya kingmusic mwandishi akamuuliza mbona hatukuwahi kusikia yeye akasema nilikuwa sipendi show off ndo maana ukuisikia jibu la kiba lilifanya watu wengi wacheke tokea hapo hiyo kauli ilianza kutumiwa kwa lengo la kumkejeli kiba Kuna mtu anaweza akasema kiba ni tajili kuliko mo ila tu apendi show off na wengi wanatumia hi kauli ni Mashabiki wa diamond.Nafikiri utakuwa umenipa vizuri.Ahaaaah huyo ajuza wa miaka 50 uwezo hautolee wapi?
Kalalwe hukowe ushalalwa sio?,unataka na mimi nikalalwe kama wewe,acha ushoga utakuua ndugu DiasporaGay
Record label au record level. Naomba unitoe tongotongo mkuu.Kauli ya huyo jamaa Kama uwelewi ni ya kumkejeli kiba hii kauli ilianzia kutrend baada ya interview moja ya kiba kusema aliwakuwa na record level before ya wcb miaka ya nyuma hapo akiwa anazindua level yake ya kingmusic mwandishi akamuuliza mbona hatukuwahi kusikia yeye akasema nilikuwa sipendi show off ndo maana ukuisikia jibu la kiba lilifanya watu wengi wacheke tokea hapo hiyo kauli ilianza kutumiwa kwa lengo la kumkejeli kiba Kuna mtu anaweza akasema kiba ni tajili kuliko mo ila tu apendi show off na wengi wanatumia hi kauli ni Mashabiki wa diamond.Nafikiri utakuwa umenipa vizuri.
Ni record labelRecord label au record level. Naomba unitoe tongotongo mkuu.
Haijawahi kutokeaDiamond kafanya mambo ambayo yatachukuwa muda mrefu sana kuja kufanywa na msanii mwingine wa hapa Tz.
BaridaNi record label