Yaani na hiyo nyumba ya south sijui Kama watakuja kutia mguu kuleRome Jones, mama mond na Dada zake watakuja kua na maisha magumu sana baadae
Mange Hana stress zozote kashampata mwingine zaidi ya mwanzo anaongeaga ukweli tatizo ss wabongo hatupendi ukweli ukiambiwa ukweli lazima upanic ndo hicho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mange zile stress tu
Umeonaeee na hapo editing kibao ,chezea kuzaa wewe huwez kuzaa watoto wote hao alaf ukataka nawe uonekane Kama binti[emoji14] [emoji14] [emoji14] ila hizo nguo anazovaa za kubana na tumbo hazimpendez kwakwel uongo zambi angekuwa anavaa hata magauni mapana mafupiMhhhhhh hizo picha za birthday Zari kaonekana jinsi umri ulivyomtupa mkono.
Iyobo na Aunt naona wameanza kufanana hivi [emoji12]
Dida nae [emoji6]
Basi mwororoMange Hana stress zozote kashampata mwingine zaidi ya mwanzo anaongeaga ukweli tatizo ss wabongo hatupendi ukweli ukiambiwa ukweli lazima upanic ndo hicho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mm huyu dada nilikuwa nampenda lakn alipofanya birthday ya mwanae bila kuwaalika ndugu zake diamond nilimchukia ghafla hiyo ni dharau kubwa Sana na sidhan Kama kina sandrah walikataa kwenda ni dhahir hakuwaambia , Ana roho mbaya Sana huyu mwanamke hata na ndugu wa Ivan haelewan nao, na sijui Kama hiyo nyumba ya south watakuja watie mguu wao kuleUkweli ni kuwa waganda wanadhara sana, tena wengi wao wanadharau Kiswahili, wakimkuta mswahili ambae hajui kiingereza kwao wao ni kuwa hajasoma. Kitu kingine ninadhani Zari alifikiri atamudu kuibadilisha familia ya Diamond iishi anavyotaka yeye, aliweza kumbadilisha Esma kwa kumfundisha kupaka make up na kuvaa, mengine amefail.
Ninamuonea huruma sana bi Sandra, alivyo karibu na mwanae sasa gubegube hili limekuja kuwafarakanisha, tena kuna watoto ndani, issue imekaa vibaya.Mm huyu dada nilikuwa nampenda lakn alipofanya birthday ya mwanae bila kuwaalika ndugu zake diamond nilimchukia ghafla hiyo ni dharau kubwa Sana na sidhan Kama kina sandrah walikataa kwenda ni dhahir hakuwaambia , Ana roho mbaya Sana huyu mwanamke hata na ndugu wa Ivan haelewan nao, na sijui Kama hiyo nyumba ya south watakuja watie mguu wao kule
Tupiamo hapa tucheke woteKuna video wamejirekod zari na daimond sasa watu wameiwekea ile nyimbo ya nampenda bibi kizee nakupenda kikongwe nimecheka balaaa
Yaani acha tu si kwa gube hili mwanamke Ana roho mbaya mpaka siwaelewi watu wanaomsifia wakati rohoni kaozaa ananukaaNinamuonea huruma sana bi Sandra, alivyo karibu na mwanae sasa gubegube hili limekuja kuwafarakanisha, tena kuna watoto ndani, issue imekaa vibaya.
Mbona haifunguki
Mbona haifunguki?
Mmmh Bibi si kwa mkorogo huo, halafu anavoonyesha hilo tumbo Kama fasheni vile angejua nguo za kubana na tumbo hata hapendezi , pili mbona anaonekana Hana furaha hata smile jaman siku ya birthday khaa!! Picha hazionyeshi furaha asee japo wanalazimisha.. Sasa mbona hatuoni familia ya diamond?? Ila huyu mwanamke ni nyokoo Ana roho mbaya Sana hata kuwaalika? [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mmmh Bibi si kwa mkorogo huo, halafu anavoonyesha hilo tumbo Kama fasheni vile angejua nguo za kubana na tumbo hata hapendezi , pili mbona anaonekana Hana furaha hata smile jaman siku ya birthday khaa!! Picha hazionyeshi furaha asee japo wanalazimisha.. Sasa mbona hatuoni familia ya diamond?? Ila huyu mwanamke ni nyokoo Ana roho mbaya Sana hata kuwaalika? [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mmmh Bibi si kwa mkorogo huo, halafu anavoonyesha hilo tumbo Kama fasheni vile angejua nguo za kubana na tumbo hata hapendezi , pili mbona anaonekana Hana furaha hata smile jaman siku ya birthday khaa!! Picha hazionyeshi furaha asee japo wanalazimisha.. Sasa mbona hatuoni familia ya diamond?? Ila huyu mwanamke ni nyokoo Ana roho mbaya Sana hata kuwaalika? [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mmmh Bibi si kwa mkorogo huo, halafu anavoonyesha hilo tumbo Kama fasheni vile angejua nguo za kubana na tumbo hata hapendezi , pili mbona anaonekana Hana furaha hata smile jaman siku ya birthday khaa!! Picha hazionyeshi furaha asee japo wanalazimisha.. Sasa mbona hatuoni familia ya diamond?? Ila huyu mwanamke ni nyokoo Ana roho mbaya Sana hata kuwaalika? [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mmmh Bibi si kwa mkorogo huo, halafu anavoonyesha hilo tumbo Kama fasheni vile angejua nguo za kubana na tumbo hata hapendezi , pili mbona anaonekana Hana furaha hata smile jaman siku ya birthday khaa!! Picha hazionyeshi furaha asee japo wanalazimisha.. Sasa mbona hatuoni familia ya diamond?? Ila huyu mwanamke ni nyokoo Ana roho mbaya Sana hata kuwaalika? [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mmmh Bibi si kwa mkorogo huo, halafu anavoonyesha hilo tumbo Kama fasheni vile angejua nguo za kubana na tumbo hata hapendezi , pili mbona anaonekana Hana furaha hata smile jaman siku ya birthday khaa!! Picha hazionyeshi furaha asee japo wanalazimisha.. Sasa mbona hatuoni familia ya diamond?? Ila huyu mwanamke ni nyokoo Ana roho mbaya Sana hata kuwaalika? [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mmmh Bibi si kwa mkorogo huo, halafu anavoonyesha hilo tumbo Kama fasheni vile angejua nguo za kubana na tumbo hata hapendezi , pili mbona anaonekana Hana furaha hata smile jaman siku ya birthday khaa!! Picha hazionyeshi furaha asee japo wanalazimisha.. Sasa mbona hatuoni familia ya diamond?? Ila huyu mwanamke ni nyokoo Ana roho mbaya Sana hata kuwaalika? [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Wenye wivu wajinyonge wakianzia na haters.Mmmh Bibi si kwa mkorogo huo, halafu anavoonyesha hilo tumbo Kama fasheni vile angejua nguo za kubana na tumbo hata hapendezi , pili mbona anaonekana Hana furaha hata smile jaman siku ya birthday khaa!! Picha hazionyeshi furaha asee japo wanalazimisha.. Sasa mbona hatuoni familia ya diamond?? Ila huyu mwanamke ni nyokoo Ana roho mbaya Sana hata kuwaalika? [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ndo kwanza unajifunza kuquote???Wenye wivu wajinyonge wakianzia na haters.