DIAMOND: Nimekutana na Ex wangu kapauka mbwa yule (remix inakuja)

DIAMOND: Nimekutana na Ex wangu kapauka mbwa yule (remix inakuja)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mzee wa Bwaksi akiwa na Zungu Macha wana wimbo wao unaojulikana kwa jina la Kafubaa, mzigo huo wa Singeli unachezwa na kusikilizwa zaidi mitaa ya Uswazi.

Habari ni kuwa Staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz naye ni moja ya waliouelewa wimbo huo na anataka kuufanyia Remix.

“Sisi tunasapoti muziki wa Tanzania, kutakuwa na remix ya KAFUBAA,” amesema Sallam SK ambaye ni Meneja wa Diamond ambaye katika kuonyesha yupo serious na hilo alisikika mwenyewe akiimba kionjo cha wimbo huo kwa kuimba: “Nimekutana na Ex wangu kapauka mbwa yule”

Diamond.jpg

 
Ya EP hajayamaliza anadandia miziki ya wenzie, ndio ajue vipaji watu wanavyo kumzidi wala hawatumii nguvu na maskendo kujipush.
Dada una chuki si ya kitoto kwanza kabisa mtoa mada kawachezea tu akili hakuna kitu kama hicho na nyie kwasababu siowafuatiliaji mmeingia kingi
 
Mtoa mada tuache kidogo naona umewaingiza Wana Jf choo Cha kike bila wao kujua
 
But at improve na kuwa na makubaliano na mhusika, na sisi tu tapata burudani, wewe unawashwa sehemu ipi?
Hata wewe umeingizwa Cha kike na mtoa mada hakuna kitu kama hicho sema amewasilisha kwaakili ya kuwachota akili
 
Back
Top Bottom