Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Msanii Diamond amedai licha ya kuwa na skendo nyingi ipo siku atakuwa waziri wa michezo na sanaa nchini ili kutatua changamoto katika muziki na michezo ambazo serikali imeonekana imeshindwa
Pia alisema BASATA hawatakiwi kufungia videoo chafu kwa sababu video nyingine ni lazima ziwe chafu
Pia alisema BASATA hawatakiwi kufungia videoo chafu kwa sababu video nyingine ni lazima ziwe chafu