Wakati akitambulishwa kuwa ambassador wa parimatch ambayo ni company ya kubetti Leo msanii wa kimataifa diamondplatnumz amesema pia alikuwa na mpango wa kuanzisha company ya kusaidia kuwatafutia timu za nje wachezaji wa kitanzania wenye talent ya mpira.Na huu ushauri alipata alivyokutana na drogba ufaransa na pia etoo na pia drogba ameniambia atanitafutia office na nyumba ufaransa na kwasababu drogba anajua vizuri maeneo ya kule lakini pia tulishaanza kushirikina na watu wenye kujua mpira na wenye taaluma pia ya mpira prosses zikimaliza tutawatambulisha ingawa prosses ni kubwa Sana tofauti na nilivyotegemea.