Diamond: Nitakuja na kitabu changu kitakachoelezea maisha yangu

Diamond: Nitakuja na kitabu changu kitakachoelezea maisha yangu

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania naseeb Abdul a.k.a baba lao amesema atakuja na kitabu chake kinachoelezea maisha yake binafsi na hii imekuja baada ya mashabiki wake kukuuliza leo kwenye Twitter wanataka kuona msanii wao ana kitabu chake ambacho kinaweza kusaidia watu wengi kujifunza na mondi kuwajibu kipo njiani.

Diamond ni msanii maarufu sana na anafuatiliwa na wengi ndani na nje ya nchi na Kama atakuja na kitabu chake litakuwa Jambo zuri Sana.
 
Kiba tayari ana kitabu sema hapendi kujionyesha tuu, wanasoma ndani yeye na akina mathoziii eeeeheee, kinaitwa ‘yoooh yebaba’
Yooooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Una miaka 30 unasema kitabu cha maisha yangu


Huu utani acheni mnazingua



Manashusha thamani ya wandishi wa vitabu
 
Back
Top Bottom