Diamond on sporah show

Diamond on sporah show

Nashangaa kila siku anamuhoji Diamond????
 
Hii habari ina tija gani kwa Taifa?

Ina tija zaid ya zile nyingine ulizoanzisha hapa hapa jukwaa la celeb, hasa zile zinazomuhusu yule jamaa ambaye mnadhan ili apande juu ni had huyu Domo ashuke. So jitihada nyingi zinafanyika kumshusha ili jamaa yenu apande
 
Anaongea vizuri sana, kamtaja ALI mara mbili,, kwamba ni kitu kinatengenezwa ili wapige hela.

Kamtaja tena...

Like hana bifu nae.
 
Ameongea vizuri sana kwenye hii interview!
 
Huyu Domomatakuja kuishia kama akina ngurumo na mzee small
 
Ina tija zaid ya zile nyingine ulizoanzisha hapa hapa jukwaa la celeb, hasa zile zinazomuhusu yule jamaa ambaye mnadhan ili apande juu ni had huyu Domo ashuke. So jitihada nyingi zinafanyika kumshusha ili jamaa yenu apande
hata mimi nashangaa sana kwa nini mnataka huyo kijana wenu apande halafu Diamond anguke ? waache wote wawe juu mbona nchi za wenzetu unakuta wasanii hata 10 wote wapo juu? sasa mnataka dogo anguke ili mumcheke au? acheni ujuha
 
Baada ya kufunikwa Fiesta?
sidhani kama Diamondi alifunikwa fiesta ili kuna kundi ambalo lilijipanga kumzomea na likafanikiwa sasa hata kiba angalie kama anataka kuja juu siyo kwa mtindo huo , anatafuta bifu za wazi hakuna sababu ya kuweka scene zinazomtambulisha kwamba yeye ndiyo mfalme mara sijui anaenda kwa wazee . diamond hamkumtendea haki tena mulimuabisha mbele ya dovido ambaye ameona kwamba jamaa haungwi mkono hapa kwao. tujaribu kubadilika tuwe waungwana kama kakosea aambiwe ajirekebishe lakini si kumzomea
 
Back
Top Bottom