Diamond alifanya show ya mwaka mpya katika uwanja wa amahoro Kigali, ni kweli hii show ilikuwa kali na ilimlipa vizuri. Kafanya show ya Tigo pale leaders club Dar hii ni sponsored show hivyo ilimlipa si haba hadi akarushia washabiki burungutu la mihela. Badae akalamba sponsored show ya CCM kule songea nayo nasikia kapiga hela nzuri na sasa atapiga sponsored show kwa madiba ya Africa Magic Award.
Ukweli hizi show kazipatia na zinamlipa, ile tabia ya kujichoresha kwenye magazeti ya shigongo imepungua kama sio kuisha, muda mwingi anaonekana kwenye faragha za fukwe naona kapata mshauri mwema, hata ule msururu wa wapambe nao naona umepungua.
Ukweli hizi show kazipatia na zinamlipa, ile tabia ya kujichoresha kwenye magazeti ya shigongo imepungua kama sio kuisha, muda mwingi anaonekana kwenye faragha za fukwe naona kapata mshauri mwema, hata ule msururu wa wapambe nao naona umepungua.