Diamond Platinum hajui kuvaa wala sio mtu wa bata

Mhhh mi masuala ya kuvaa naonaga kizungumkuti sana, yaani sielewi kinachoendelea. Naona mafashonista huwa wanatubabaisha sana, mara nyingi naona watu wamevaa na wamependeza sijuagi Kingine mie. Mtu akivaa kitu kulingana na hadhi yake basi kwangu amemaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…