Diamond platinumuz hawa wanamziki wako sio

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Huyu mpiga drums anafaa kupiga punda na sio drums, huyu mpiga solo bora hata umtafute nape, kwa hadhi yako ajiri wakongoman na madensa kutoka africa ya kusini, bora ukafanya show mbili za ukweli kuliko kubangaiza na wabongo.

 
Mkuu huo ni mwanzo watakuja tu kuwa vizuri unataka vijana wa kibongo wakose ajira hapo wageni ndio wapate sio poa hiyo!
 
Huyu mpiga drums anafaa kupiga punda na sio drums, huyu mpiga solo bora hata umtafute nape, kwa hadhi yako ajiri wakongoman na madensa kutoka africa ya kusini, bora ukafanya show mbili za ukweli kuliko kubangaiza na wabongo.

ENDELEA NA RAMLI MKUU
 
Mkuu huo ni mwanzo watakuja tu kuwa vizuri unataka vijana wa kibongo wakose ajira hapo wageni ndio wapate sio poa hiyo!
ndio maana nikasema aanze na hao wanaojua kazi zao kuliko kuharibiana biashara, angemchukua Dalli Kimoko wangeendana kabisa, pia wale madensa wa Godfarther aliokuwa nao kwenye wimbo wa Kidogo kidogo niwazuri sana, hebu ona hii show ya Malawi hao madensa sio kabisa
 
Acha jamaa apige pesa , wewe endelea na threads free of charge!
 
awachukue hao wanaojua ili iweje! hao wake watazoea lini!?

ukiisikiliza hiyo live band kwenye vipisi vingine bonge moja la band chini ya sound engineer tudy,sio kama ile mliyozea ya THT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…