Diamond Platinumz atangaza kuachia EP ya kwanza

Diamond Platinumz atangaza kuachia EP ya kwanza

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
8,611
Reaction score
16,118
Msanii nambari moko katika ukanda wa Africa Mashariki Diamond Platinumz A.K.A chibu Dangotee A.K.A Simbaa ametangaza kuachia EP yake ya kwanza kbsa toka ameanza safari yake ya muziki.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ameahidi kuachia EP yake mnamo 04/03/2022.Diamond atakuwa wa hivi punde kuachia EP yake baada ya wasanii mbali mbali kuachia EP zao. Baadhi yao ni Rayvanny (New chui & Flowers ll EP), Zuchu ( I am Zuchu EP), Lava Lava (Mr Lovebite) K2ga ( Safari EP).

Je, hivi unadhani Diamond atafanya vizuri kwenye EP yake ama atachemka?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli halikosi mwisho. Uwiiiiih
 
Yani kuna mpuuzi mmoja kila siku anasubir anguko la huyu bwana mdogo, sasa kama ww ulivyo na shauku la huyu kijana kudondoka na ikawe kwako na kizazi chako uone kama ni jambo zuri
 
Back
Top Bottom