Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

hii pich ni zaidi ya maneno! Sijakosea kumshabikia........davido kamtaja sana diamond huko dubai sasa sijui wale waliokuwa wanchonga sana sijui watsaweka wapi sura zao
 
kwa mujibu wa orodha ya 2014 ya vitu vilivyotafutwa zaidi kwenye Google ndani ya Tanzania.

Diamond yupo kwenye kumi bora, akiwa ni mtu pekee kwenye hiyo kumi bora akimfunika mpaka rais wetu Kikwete.

Unajiona ulivyo mjinga?
 
uknw Mimi ni celebrity mkubwa Tanzania hivyo wasanii wengi wananiomba ushauri uknw! Diamond nilimpa ushauri lakini supergadem mazafantaz hawaamini na wananionea wivu uknw!....
Uknw sasahivi Niko mapunzikoni Arusha kama una wivu kufwa for me

Hivi huyu jinga anajionaje sasa hivi baada ya kuumbuka.
 
Chezea kuchezea Vipapa vya kila Taifa lazima atafutwe sana tu ! Kiukweli pia anafanya vizuri sana kazi zake sana sana sana big up Bro

Happy New Year 2015
 
Sio hater but Ngachoka kwani mkiwa wapenzi lazima mrambanerambane kutwaaaa mhhh kinyaa sasa , ndio maana kuna vyumba na mapazia

Happy New Year 2015
 
[quote name="Joop" post=11519883]
ndo ALLY KIBA yule msanii wa kimataifa aliyeimba na R.KE
LLY (japo hana tuzo hata moja ya nje ya nchi kwa jinsi wanavyom-bania) eti watu wanatuambia kuwa tunajifanya kumshangilia ila tunanunua na kupiga nyimbo za Daimond sio yeye kwahiyo ALLY KIBA kaamua kutupotezea


Kuwa mzalendo kwa kuongea ukweli
 
Heri Ya Mwaka Mpya 2015 Enyi Watalaamu wa Kuchagua Vizuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…