Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

eti wenye matatizo na nyota zenu hivi mkiwa mnawaambiga next door watokwa mapovu hua mnamaanisha nini? yani lile neno lile ( kutokwa povu ) natamani kulitumia ila nahisi wanaweza kunipeleka mahakamani
 
eti wenye matatizo na nyota zenu hivi mkiwa mnawaambiga next door watokwa mapovu hua mnamaanisha nini? yani lile neno lile ( kutokwa povu ) natamani kulitumia ila nahisi wanaweza kunipeleka mahakamani

Mtokwa povu ni version ya mtiririka pumba....anatiririka tu mradi katiririka.na hiii huchangiwa na hatred.
 
Ivi .., najiuiliza, ni kweli bado diamond ana haters kwa TANZANIA.....
?!!?

NTAKUA WA MWISHO KUAMINI HILI....

AND FOR WHAT EXACTLY..???!! DAMN IT!
Haters wapo na bado wataendelea kuwepo! The sababu kubwa ni kwamba, kuna wengine wamezaliwa nafsi zao zikiwa zimekubikwa na inda... hawa ada yao ni uzushi na katu hawaishiwi sababu ili mradi tu hinda zao zipate pa kusimamia! Nadhani ni mfuatiliaji wa CD za kila leo zinazotengenezwa na watu hawa ili mradi tu... single ya karibuni ni kwamba Diamond hana uwezo wa kuzaa... wengine wanaosema haya ni watu wazima na akili zao! Hinda na husuda hii ya kuzaliwa nayo huku ikipapaliwa na stress za maisha, inawafanya watu hawa washindwe kujiuliza; ikiwa Chibu hana uwezo wa kupiga mimba... hao akina Wema, Jokate, Penny, Wolper wameanza kumegwa lini na wanaume wangapi na kote huko wameacha mimba ngapi!!!!
 
Mtokwa povu ni version ya mtiririka pumba....anatiririka tu mradi katiririka.na hiii huchangiwa na hatred.
Tena basi, wanatiririka kumwaga pumba huku wakiwa wameghadhibika kwa hasira na kisirani mithili ya mbogo majeruhi... kisa, ahah... basi tu; why always them and not us... HATRED as you pointed it out!!!
 
Anamaliza mwaka vizuri na anauanza mwingine kwa bang! Kwa hakika kuendelea kumponda mtu kama huyu ni kudhirisha uzuzu ambao ilikuwa ni rahisi kabisa kuuficha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…