Ingekuwa akina fulani hapa!!tusingelala leo maana!!wanajaribu kushindana na chibu lakini hawawezi mpaka wanatuonyesha majumba ya makumbusho eti nyumba zao za kuishi mmnh!!
Watuonyeshe vitu halisi sio ushuzi wa muhindi harufu kali sababu ya pilipili
Chibu ni brand aisee wimbo hata mwezi haujamaliza una viewers milioni moja na point hii sasa sifaaaaaa
Tupo sana tu... sema pilika zinatufanye tuwe kama hatupo huku tukikaa mkao wa kula kuukaribisha msimu wa tuzo tuanze kuwachukiza watu kwa statistics zinazoambatana na picha zisizopingika!!