Show ya Diamond Dubai...!
Kiingilio elfu 76 za ktz kwa the usuals.. VIP inabidi upige simu... CHIBU is going places
Shukran nyingi ziwafikie Edgepoint Company Ltd kwa kujitolea kunipa Bima ya Afya kwa wakazi 200 wa Tandale, Bima hiyo ambayo itawaruhusu Wakazi hao kutibiwa bure Hospitalini kwa Kipindi cha Mwaka Mzima bure...bima hizo 100 zitaenda kwa Watoto wa shule ya Tandale Magharibi, 50 kwa wakina mama wajane wa Tandale na 50 kwa watoto yatima wa Tandale...Lengo na duhumi langu si kusaidia Tandale tu, lakini kwakuwa Mwanzo ni mgumu kwa sasa naanzia Tandale ila naamini Wilaya na mikoa Mingine nitafika ku#PushMtaa BIMAafya BIMAafya BIMAafya waweza wasiliana nasi kwa Htaletale@gmail.com
source: karusha kwa instragram account yake.
Hongera Diamond...Zari yupo juu.
Shukran nyingi ziwafikie Edgepoint Company Ltd kwa kujitolea kunipa Bima ya Afya kwa wakazi 200 wa Tandale, Bima hiyo ambayo itawaruhusu Wakazi hao kutibiwa bure Hospitalini kwa Kipindi cha Mwaka Mzima bure...bima hizo 100 zitaenda kwa Watoto wa shule ya Tandale Magharibi, 50 kwa wakina mama wajane wa Tandale na 50 kwa watoto yatima wa Tandale...Lengo na duhumi langu si kusaidia Tandale tu, lakini kwakuwa Mwanzo ni mgumu kwa sasa naanzia Tandale ila naamini Wilaya na mikoa Mingine nitafika ku#PushMtaa BIMAafya BIMAafya BIMAafya waweza wasiliana nasi kwa Htaletale@gmail.com
source: karusha kwa instragram account yake.
Hongera Diamond...Zari yupo juu.
Shukran nyingi ziwafikie Edgepoint Company Ltd kwa kujitolea kunipa Bima ya Afya kwa wakazi 200 wa Tandale, Bima hiyo ambayo itawaruhusu Wakazi hao kutibiwa bure Hospitalini kwa Kipindi cha Mwaka Mzima bure...bima hizo 100 zitaenda kwa Watoto wa shule ya Tandale Magharibi, 50 kwa wakina mama wajane wa Tandale na 50 kwa watoto yatima wa Tandale...Lengo na duhumi langu si kusaidia Tandale tu, lakini kwakuwa Mwanzo ni mgumu kwa sasa naanzia Tandale ila naamini Wilaya na mikoa Mingine nitafika ku#PushMtaa BIMAafya BIMAafya BIMAafya waweza wasiliana nasi kwa Htaletale@gmail.com
source: karusha kwa instragram account yake.
Hongera Diamond...Zari yupo juu.
Yaani diamond ni mfano wa kuigwa kwakweli huyu kijana,mungu akupe zaidi ya hapa Nassib.
Halafu yule wema anasema una IQ ndogo matako yake yule
Ndo nani huyu? Isije ikawa ndo wale wala maharage ya wapi?
mi simjui
"Ile kua uone nilidhani maghorofa"
Nikimuona tu nakumbuka fiesta ya Leaders club October 2014!
Hatari sana.
Teh! Le shangweee