by mzurimie;
Haya msisahau kuwapigia kura wanaopeperusha nchi yetu kimataifa
Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE
ingia kwa link hii chini
MAMA 2015
Bonyeza bonyeza VOTE usichoke
Mkuu mzurimie nashukuru sana kwa link maana nilikuwa naitafuta kishenzi! ngoja niwahi nimpigie kura wizkid na mdee fasta!
by mzurimie;
Haya msisahau kuwapigia kura wanaopeperusha nchi yetu kimataifa
Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE
ingia kwa link hii chini
MAMA 2015
Bonyeza bonyeza VOTE usichoke
Mkuu mzurimie nashukuru sana kwa link maana nilikuwa naitafuta kishenzi! ngoja niwahi nimpigie kura wizkid na mdee fasta!
Hehehe kazi ni kwakoo poleeeeeeeeeee
by mzurimie;
Haya msisahau kuwapigia kura wanaopeperusha nchi yetu kimataifa
Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE
ingia kwa link hii chini
MAMA 2015
Bonyeza bonyeza VOTE usichoke
Mkuu mzurimie nashukuru sana kwa link maana nilikuwa naitafuta kishenzi! ngoja niwahi nimpigie kura wizkid na mdee fasta!
Hahahahaaa, mkuu nimecheka hadi machozi.Kibao kimegeukia kwao sasa....lol
Jisumbueni kuvote hamuambulii chochote hivi nna akili zako Wiz kid na davido wapo hapo diamond atapita wapi? Mnapoteza hela zenu tu
na kipindi Kile alizoa tatu mlisema vile vilee
Oooh ngoja kesho nianze ku votee....
Anajitahidi sana Chibu... Anawakilisha vyema TZ
Wabongo chuki kwa home boy ni fedheha.
Let's support Diamond.
Jamani hadi wakenya, wanigeria wanatushangaa!
Usifikiri hii nchi ni maskini sababu ya viongozi akili za wananchi wenyewe ni tatizo. Sasa mtu anafikiri anaweza kupora fungu la mtu kumbe kila mtu ana fungu lake.
Usifikiri hii nchi ni maskini sababu ya viongozi akili za wananchi wenyewe ni tatizo. Sasa mtu anafikiri anaweza kupora fungu la mtu kumbe kila mtu ana fungu lake.
Nina kaombi kadogo iv kwanini tusiache kujihusisha na hizi nyuzi zinazopinga kumpigia mondi kura yaan tunapta kimya no kuchangia wala nini maana tunavobisha ndo uzi unasambaa zaidi alafu haina haja hata ya kustuka wanaokomalia hii issue hawazidi watu watatu mpk watano kwa kifupi hawawezi kuzuia hii kitu let us ignore them yaan ingekua poa sana aiseee nawasilisha.