Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Kwanza hajui kuimba na anategemea sana wanawake wenye masoo soo ili atoke. Anatumia nguvu kujitangaza kama mamvi ila hamna kitu. Hajui kuimba ndomo. Kama mtasema ni maharage gani nimekula sintoshangaa. Karibuni Mbarali.

Pangu Pakavu.
 
Kwanza hajui kuimba na anategemea sana wanawake wenye masoo soo ili atoke. Anatumia nguvu kujitangaza kama mamvi ila hamna kitu. Hajui kuimba ndomo. Kama mtasema ni maharage gani nimekula sintoshangaa. Karibuni Mbarali.

Pangu Pakavu.

Haaa haaa yaani hii kama si bangi nibangue nahama arusha
 
team kiba akiwa kwenye ubora wake hahaha kiba kazi unayo mashabiki wako wenyewe ndo wa aina hii
 
team kiba akiwa kwenye ubora wake hahaha kiba kazi unayo mashabiki wako wenyewe ndo wa aina hii

Umejuaje ni kiba kaandika hapo. Hahaaa kila aliye tofauti na MTU wako ni timu kiba. Kumbe kiba ni homa yenu uu Uzi wa domo unamuingiza Kiba majaaaanga haya.
 
Jamaa yupo sawa kabisa kwa mtizamo wake na si wote lazima tumpende diamond, mi mwenyewe simpendi hata kidogo. Anamwita joketi makombo wakati yeye kaowa bibi hivi huyo anajielewa kweli?
 
ivi kumbe siku izi watu wanapenda wasanii na sio miziki yao. sema hupendi miziki ya dimond sio yeye anaweza akawa na skendo lakini bado mzki wake ukawa ni mzur
 
Haya tumekusikia...una lingine la kuongezea mkuu kabla hatujafunga hii thread :what:
 
Kwanza hajui kuimba na anategemea sana wanawake wenye masoo soo ili atoke. Anatumia nguvu kujitangaza kama mamvi ila hamna kitu. Hajui kuimba ndomo. Kama mtasema ni maharage gani nimekula sintoshangaa. Karibuni Mbarali.

Pangu Pakavu.

Eeeh...we kweli pako pakavu....
 
Kwanza hajui kuimba na anategemea sana wanawake wenye masoo soo ili atoke. Anatumia nguvu kujitangaza kama mamvi ila hamna kitu. Hajui kuimba ndomo. Kama mtasema ni maharage gani nimekula sintoshangaa. Karibuni Mbarali.

Pangu Pakavu.

Kwanza picha linaanza mkuu hata kuandika hujui cjui uko darasa la ngapi..! Mi nafkiri ingefkia hatua kujiunga ktk mitandao ya kijamii nakala za vyeti vya elimu zingehusika ktk kujisajili na mitandao ya kijamii.
 
Kwanza hajui kuimba na anategemea sana wanawake wenye masoo soo ili atoke. Anatumia nguvu kujitangaza kama mamvi ila hamna kitu. Hajui kuimba ndomo. Kama mtasema ni maharage gani nimekula sintoshangaa. Karibuni Mbarali.

Pangu Pakavu.

hahaha we jamaa utakuwa na matatizo ase,
sasa kama ana sauti mbaya na hajui kuimba kivipi anakusumbua?
 
The one and only Diamond platnumz ata iweje wanafki awataweza kumshusha ng'oo na mtu kama muda wake ulisha pita awezi toka tena zaidi ya kuwapotezea pesa ao wanaomzamini ili watengeneze pesa kupitia Putnamz''''
 
Mpaka sasa mchezo unachezwa nusu uwanja, Chibu kakamata idara zote kuanzia beki kiungo mpaka striker wanahesabu magoli tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…