Hey WCB family mmeamkaje wapendwa?@Sumbai mzurimie Kim nana PAGAN stressfree na wengine wengiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hey WCB family mmeamkaje wapendwa?@Sumbai mzurimie Kim nana PAGAN stressfree na wengine wengiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hey WCB family mmeamkaje wapendwa?@Sumbai mzurimie Kim nana PAGAN stressfree na wengine wengiiiiiiiiiiiiiiiiiii
nipo salama mpendwa, natumaini nawe umeamka salama.
Jamaa amechaguliwa tena tuzo za youths music awards nchini Nigeria. 2 categories.
Diamond kapewa heshima kwa wazee wa CCM kusimama na kudansi muziki wake alipoingia jukwaani
Ndio Ndio Chibu
Hakuna kama Diamond nchi hii!!yule ni rais wa maraisi bwanaah!thread zote Hapa JF zimesimama,watu wanamjadili Diamond tu na Followers wanaonhezeka huko Insta
aisee kwa hili nimemdharau sana domo, binafsi nilikua namsapoti sana hata kura zangu nyingi sana nilimpa!' kumbe ni matak# tu ............
Acha kuchanganya siasa na burudani... watu wanafanya biashara na hawawezi kuacha pesa eti kwavile tu wewe hu-support anachokipigia kampeni!Guys, go outta there and find the real enemy anauesababisha CCM iendelee kuwa madarakani... hata ungekuwa ndo wewe ungefanya kama alivyofanya Diamond... don't take it personal... it's all about business! Na ikiwa kweli wewe ni shabiki wake unachotakiwa kufanya ni kuipotezea tu page yake kwa muda badala ya kuhangaika kumwaga mikashifa kila wakati coz' haitakusaidia na mambo ya siasa usije kushangaa siku mzazi wako na yeye anaanza kuishabikia CCM... sasa sijui utaanza kumtusi hivyo hivyo!!!
aisee kwa hili nimemdharau sana domo, binafsi nilikua namsapoti sana hata kura zangu nyingi sana nilimpa!' kumbe ni matak# tu ............
Acha kuchanganya siasa na burudani... watu wanafanya biashara na hawawezi kuacha pesa eti kwavile tu wewe hu-support anachokipigia kampeni!Guys, go outta there and find the real enemy anauesababisha CCM iendelee kuwa madarakani... hata ungekuwa ndo wewe ungefanya kama alivyofanya Diamond... don't take it personal... it's all about business! Na ikiwa kweli wewe ni shabiki wake unachotakiwa kufanya ni kuipotezea tu page yake kwa muda badala ya kuhangaika kumwaga mikashifa kila wakati coz' haitakusaidia na mambo ya siasa usije kushangaa siku mzazi wako na yeye anaanza kuishabikia CCM... sasa sijui utaanza kumtusi hivyo hivyo!!!
But all in all, hivi nyie wenzangu ni kwa wanasiasa gani hapa wa kuwafanya mtoke mapovu kweli kweli na kuanza kutukana walio na itikadi tofauti na nyinyi? Nani? Lowassa? Mbowe? Maalim Seif? Ni nani hasa ambae kweli hadi mnaamua kuanza kuwatusi wenzenu kwa kuwaona hawana akili na ndio tatizo? Hivi kweli wewe binafsi ulitarajia mtu kama Dr. Slaa angeisusa CHADEMA? Ni nani kati yako na Slaa anayeujua vizuri upinzani? What about Lipumba? Si mnasema wamenunuliwa? Sasa ikiwa wale ambao walikuwa ndani kabisa wanaweza kusaliti mabadiliko hiv kweli mnawatendea haki watu kama akina Diamond?