Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Nilitegemea kuona ushauri unaojenga na sio kuponda. Sina tatizo na biashara zake kwasababu yeye mwenyewe anajua hasara na faida zake. Kila mtu akiuza jeans nani atamuuzia mwenzake karanga?
Mkuu kwenye biashara unaangalia kwanza kitu jamii inachokihitaji na kina upungufu , au kile ambacho ni lazima sana kwa maisha ya kila siku. kweli karanga ni kitu ambacho tunahitaji saana?? Hadi ifike 100,000/- auze karanga ngapi?

Nguo ni lazima uvae hata uwe bahili, mfano Jeans kama angeuza @20,000/- jeans 5 tu anapata 100,000/- na vijana mashobaro wengi tu angewapata.

Na zaid ya hapo nguo haziharibk nguo angeweza kuzitangaza mwenyew kweny video zake. Nguo angeweza safirusha popote afrika na kupata faida neno kuliko upuuzi karanga.
 
Biashara ya karanga si ya kipuuzi kabisa ndugu yangu, ina faida kubwa tu we uliza upewe data plus hauzi TZ pekeyake, hizo karanga zipo na nchi ya jirani
 
Menejiment baada ya kikao imemshauri auze karanga maana perfume 105000 hawanunui

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Hoja yako ya msingi ni ipi pafyumu bei ya juu umelalamika, kawaletea karanga bei chee na penyewe unalalamika so tukuweke kundi gani

Post sent using JamiiForums mobile app
Et MTU uko serious na maisha unauza karanga?,,,is he
serious ama he is just toying around with our
feelings ??

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Hatamm na shangaa

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli sisi mashabiki hatuelewi nini kimemsibu Kipendwa wetu kwani kadiri siku zinavyoenda ndivyo kipaji chake kinazidi kupotea! Nani mchawi Wa Muziki wake?
Chanzo: Nyimbo zake za hivi karibuni mfano bora nikae kimya, Hallelujah n.k.
 
Mkuu kwa iyo roho yako kufanikiwa ni kaz aisee
Kwa kweli sisi mashabiki hatuelewi nini kimemsibu Kipendwa wetu kwani kadiri siku zinavyoenda ndivyo kipaji chake kinazidi kupotea! Nani mchawi Wa Muziki wake?
Chanzo: Nyimbo zake za hivi karibuni mfano bora nikae kimya, Hallelujah n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…