Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Tatizo nyota.
 

Attachments

  • 1416937668007.jpg
    7.7 KB · Views: 74
nime tulia zangu maskani baada ya kazi now nakula ngoma za diamond.....hii kitu nita mpata wapi ni matata sana hasa uisikilize kwenye kiki la home theatre duuh balaa tupu.

kama nakuona vile ukitoka ntampata wapi unakuja mdogo mdogo ikiisha hiyo my namber one inafatia then hujakaa sawa kitu cha kesho kinafatia unaamua kujiweka sawa nataka kulewa hiyo unataka kunyanyuka moyo wangu huo mara mbagala mara nalia na mengi then unataka kuondoka kitu cha kamwambie hiko kama kimepikwa leo cha moooto.wee zima hiyo sabufa utasababisha majirani wasiompenda daimond wakashtak tanesko
 

Hah hizo nyimbo special unzitengenezea folder lake pekeake then unaenjoy the good muzic from Tandale boy
 
Hah hizo nyimbo special unzitengenezea folder lake pekeake then unaenjoy the good muzic from Tandale boy

ni kweli raha yake ziwe katika folder lake then unakula ngwati tuu hapo hata kama una mawazo ya kulipa kodi unashangaa unasahau gafla
 

Ha ha ha eti waka shtaki tanesco daah.
 
ni kweli raha yake ziwe katika folder lake then unakula ngwati tuu hapo hata kama una mawazo ya kulipa kodi unashangaa unasahau gafla

Mi nime zi weka kwenye folder yake "the best of chibu" video na audio
 
Nimetoka yutyubu sahivi iko hivi


Diamond platnumz-ntampata wapi
5days ago
Views 488k
 
Q Chilla mwenyewe kakubali kulipiea hela afanye nyimbo na video manina Dai
 
Gmorning wadau,kwa wale wagonjwa na wenye matatizo mbalimbali Mungu awape nguvu......!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…