Diamond Platinumz free to perform in Kenya, say Kenya Film and CopyRights Boards Boss

Harusi za Kiswahili hua zinauchafu zaidi ya huyo nyimbo ya mwanzo sijui shida iko wapi...
Ku ban nyimbo Kwa ma radio na TV ni Sawa lakini ku ban mtu Ku perform nyimbo ndani ya club ambapo watu wamejipeleka wenyewe ....hapo umevuka mpaka
 

Embu kamuimbie mama yako huo wimbo,akikuchekea njoo itukane basata utakapoweza.
 
Harusi za Kiswahili hua zinauchafu zaidi ya huyo nyimbo ya mwanzo sijui shida iko wapi...
Ku ban nyimbo Kwa ma radio na TV ni Sawa lakini ku ban mtu Ku perform nyimbo ndani ya club ambapo watu wamejipeleka wenyewe ....hapo umevuka mpaka
Exactly!!.
 
- Baraza la sanaa nchini Tanzania (BASATA) linalosimamia mziki na sanaa kwa jumla nchini Tanazania limetoa onyo kali kwa msanii Diamond Platinumz
- Hii ni kuhusiana na mpango wake wa kupiga shoo nchini Kenya katika hafla yake maalum ya Wasafi Festival
Habari Nyingine : Wakazi wa Migori wahofia ugonjwa mpya hatari wa zinaa β€˜Jakadala’
Kupitia kwa mkurugenzi mkuu wa baraza hilo Onesmo Kanyanda, shirika hilo limeeleza kuwa diamond atashtakiwa kwa kosa la uhaini iwapo atakaidi vikwazo vya baraza hilo na kuandaa hafla yake Embu, Mombasa na Nairobi kama aliavyopanga.
Tuma neno β€˜NEWS’ kwa 40227 ili kupata habari muhimu pindi zinapochipuka
Akizungumza na wanahabari Jumatano, Disemba 19, Onesmo alieleza kuwa sharti Diamond na timu yake kuzingatia na kuambatana na sheria za BASATA ambalo limeipiga marufuku hafla hiyo nchini Tanzania na Kenya.
Habari Nyingine : Mbwa wa babake Uhuru alikuwa na gari lake binafsi la aina ya Mercedes Benz - Lee Njiru
''Sisi kama BASATA ni waakilishi wa serikali. Sheria za BASATA zinatoka kwa serikali hivyo basi akiendelea na hafla hiyo licha ya kupigwa marufuku na serikali, atakuwa na kosa la uhaini,’’ Onesmo alisema.
''Iwapo atafanya kosa la uhaini, kesi itachukuliwa na mwanasheria mkuu kisha atafikishwa kortini. Hivyo mtu akikaidi agizo la BASATA, ameipinga serikali,’’ aliongezea.
Habari Nyingine : Jamaa amfurusha mkewe siku 2 baada ya harusi, adai mtu aliifungua 'sava'
Kauli ya Onesmo inajiri saa chache baada ya uongozi wa Wasafi kutangaza kuwa wataendelea na hafla yao nchini Kenya kama ilivyopangwa awali.
Meneja wa Diamond aliwahakikishia mashabiki wa msanii huyo kuwa wataandaa mkutano na serikali ili ili kuwaruhusu kuiandaa hafla hiyo nchini Kenya.
 

Public threats ni hallmark ya udikteta.

Aaaah hata Eritrea and N Korea walianza hivyo. Silence media done βœ… Silence opposition done βœ… silence entertainers & prominent personalities done βœ… ..hii movie ni Tamu sana πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€
 
chanzo cha habari yako?
uhaini ni kitu kikubwa sana na adhabu yake ni kunyongwa!! so sidhani hivyo
anyway sio mzima sana kwe sheria lkn npo nasaport sheria IFWATWE
 
Tanzania inayo mengi kusoma Eritria na Kenya baada muafaka Uhuru na Raila.
 
Msee tupia link, hizo habari nyingine zime zimenivutuia.... Gonjwa la Jakadala na umbwa wa Uhuru kuwa na gari lake.
 
Nampenda Diamond. Kijana jasiri tena Kichwa ngumu kabisa, tayari yuko Mombasa.
Huyu rais wenu hana adabu, wacha kijana anatengeneze pesa πŸ’°
 
Kijana ako busy pilka pilka za kusaka mali ili akwende kisumu kutoa mahari kwa dem wakeπŸ˜‚
 
We used to have Tanzanian bands based in Nairobi in the 80's, a life ban will only push Diamond to the same solution


Anatishia kujamba tu huyu,kama kenya kuna mfaa sana ahamie huko.

Mbona bado yuko hapa.
 
Rais wetu anahusikaje na ban ya huyo shemeji yenu!!!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wacha maswali ya upuzi. Hakuna lolote linatendeka Tz bila ruhusa ya emperor.

Silence media done βœ… Silence opposition done βœ… silence entertainers & prominent personalities done βœ… ..hii movie ni Tamu sana πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€
 

Sasa unadhani diamond angepigwa pin kwa amri ya the commandant himself in EA,angefurukuta wapi???
Unadhani mngekuwa naye hapo mkikesha!!!!

Nikujulishe tu,nay wa mitego aliishawekwa ndani kwa kuimba vitu vya ajabu kumhusu rais,lakini rais mwenyewe akatoa amri kwamba aachiwe-sasa diamond na nay unadhani nani anastahili kutetewa na rais!!!!!

Hizo ni hatua za mamlaka mbalimbali nchini wala rais hahusiki mzee,au diamond huko kwenu mnamchukuliaje[emoji38][emoji38]untouchable eh????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…