Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 739
Hili lipo wazi!!!!!! Nani asiyemjua Nasibu Abdul ( Diamond platinumz). Ni msanii mwenye mafanikio makubwa kwa Tanzania na Africa kwa ujumla, ni msanii ambaye amejizolea sifa nyingi kupitia kazi yake na ni msanii ambaye amejishindia tuzo nyingi hapa nchini pamoja na nje ya nchi. Na amesaidia kwa kiwango kikubwa kuibadili bongo fleva na kuitangaza kimataifa.
Diamond platinum alianza kufanya mziki mnamo mwaka 2006 alipokuja na ngoma yake ya nenda kamwambie na tangu wakati huo ameendelea na kasi ileile aliyoingia nayo hadi leo hii na ameshafanya kolabo na wasanii mbali mbali wakubwa Africa. Kwa kweli Diamond platinum anastahili pongezi kwa kile alichofanya na anayoendelea kufanya hakika amedhihirisha hakuna lisilowezekana.
Amekuwa mfano bora wa kuigwa sio kwa Tanzania tu na barani Africa kwa ujumla na nadhiriki kusema Diamond platinum hana mpinzani kwa East Africa ingawa kuna watu wengi wanambeza lakini siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli. Big up Diamond!!!!!!!
Diamond platinum alianza kufanya mziki mnamo mwaka 2006 alipokuja na ngoma yake ya nenda kamwambie na tangu wakati huo ameendelea na kasi ileile aliyoingia nayo hadi leo hii na ameshafanya kolabo na wasanii mbali mbali wakubwa Africa. Kwa kweli Diamond platinum anastahili pongezi kwa kile alichofanya na anayoendelea kufanya hakika amedhihirisha hakuna lisilowezekana.
Amekuwa mfano bora wa kuigwa sio kwa Tanzania tu na barani Africa kwa ujumla na nadhiriki kusema Diamond platinum hana mpinzani kwa East Africa ingawa kuna watu wengi wanambeza lakini siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli. Big up Diamond!!!!!!!