Hapo kwa list yako hakuna hata mmoja niliyemfollow huko instagram achilia mbali kuwa intereated na wanachofanya
Na nipo Tanzania
Wewe ni Mimi kabisa
Tutajuaje kama haujamfollow ?
@everlinysaltWatoto wanapiga mihayo majumbani msosi hamna mama unabwabwaja tu jf ,
Nilidhani niko peke yangu ambae siko interested......Hapo kwa list yako hakuna hata mmoja niliyemfollow huko instagram achilia mbali kuwa interested na wanachofanya
Na nipo Tanzania
Kati ya vitu ambavyo instagram wakifanya nitafurahi ni hiyo ya kuficha likes.Mzee nakwambia siku Instagram ikizima hata masaa 48 tu watu watakufa sana wale Instagram celebrity hahaha!
.
Majuzi tu hapa haikuwa inafanya kazi vizuri walikufa watu.
Alafu wana bonge la mpango wa kuficha likes watasaidia sana aisee
Mbona mi sina IG lakini nikipita kila kona WCB tu?...Na je ikifa Instagram leo....tutasikiliza mziki wa nani?
huo umaarufu wao utakwenda wapi?
[emoji1787][emoji1787] eti na bado wanacommentWatu wengine watajifanya hawaekewi eti kumbe kila sakika kuingia kwny page ya Dai
Hata PEPSI hunywi!? Hah ha haaaa haa!!Hapo kwa list yako hakuna hata mmoja niliyemfollow huko instagram achilia mbali kuwa interested na wanachofanya
Na nipo Tanzania